Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Jengo la ghorofa la matofali mabichi kama lilivyonaswa na mpigapicha wetu katika kijiji cha Msafiri kilichopo Bungu wilayani Rufiji jana. Ni hatari, lakini salama.
Ardhi tunayo nyingi lakini uwezo wa kuitumia na kuzalisha kihaswa hatuna sasa kwa nini mtu ujitese na ghorofa la udongo na mti wakati ardhi ni ya bwerere?
Cha kusikitisha Choo cha shimo kipo mita 20...kutoka kwenye Skyscrapper hilo...au hakipo kabisa ukiomba kwenda wapewa JEMBE...
hivi hizo hela si angeinvest kujenga nyumba ya kawaida yenye uimara na usalama?
Huko ni kujali mazingira.
Kutunza mazingira kwa kunya hovyo....by ff.