ni kweli kabisa huyu dada toka alipokuwa mnenguaji na baadae kupanda cheo na kuwa muimbaji hana scandal yoyote.Mdada anajiheshimu sana huyu...
huyo ni mke wa mzungu.Jasho ni kawaida kila mtu kwa jinsi mwili wake ulivyo, lakini kuna kitu watu wengi hawajakiona! Hebu mcheki huyo demu wa kushoto kabisa kiunoni ni kama shanga zimemzidi hebu angalia vizuri utaona kama moja imeondoka kwenye kundi la wenzake jamani! Uongo?