Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
kweny hiyo picha unaona jamaa macho yake yako kwenye mikono. na mgonjwa na naye kaficha mikono. sijajua kwanini abebe mpiga picha kwenda kwa mwakyembe ili hali vitu ambavyo ni national interest hawaruhusu camera. watu wenye kufikiri zaidi munaweza kuona huu mchezo anaucheza huyu bwana. lakini mwakyembe mwenyewe ndiyo aamue kufa na itikadi ipi.....
muombeeni bac ata apone, 7bu akipona sithani kama atabaki tena magamba aje cdm 2namuhitaji,
muombeeni bac ata apone, 7bu akipona sithani kama atabaki tena magamba aje cdm 2namuhitaji,