Candid Scope JF-Expert Member Joined Nov 8, 2010 Posts 11,897 Reaction score 6,933 Oct 11, 2011 #1 Kuna kazi nzito ya kuelimisha vijana kutotumika kwa utaratibu huu kwa manufaa ya vizito wanaolinda na kutetea nafasi zao.
Kuna kazi nzito ya kuelimisha vijana kutotumika kwa utaratibu huu kwa manufaa ya vizito wanaolinda na kutetea nafasi zao.
K Kiduku JF-Expert Member Joined Sep 29, 2010 Posts 478 Reaction score 73 Oct 11, 2011 #2 vilaza hao njaa inawasumbua
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,832 Reaction score 13,798 Oct 11, 2011 #3 Ama kweli njaa haina adabu.
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,832 Reaction score 13,798 Oct 11, 2011 #4 Wanangoja posho tu.
Novatus JF-Expert Member Joined Jul 28, 2007 Posts 330 Reaction score 38 Oct 11, 2011 #5 Sijui wanaishi wapi?
Ndallo JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 7,621 Reaction score 4,311 Oct 11, 2011 #6 Njaa mwanaharamu! baada ya hapo wameandaliwa wali na nyama za Nyumbu pamoja na posho za shilingi 10000
Njaa mwanaharamu! baada ya hapo wameandaliwa wali na nyama za Nyumbu pamoja na posho za shilingi 10000