Wanajf naomba mnijuze, CCM kuwa chama dola maana yake ni nini? nataka kujua CCM ni sehemu ya dola au dola ni sehemu ya ccm.nini hasara na faida ya mfumo huu kwa taifa letu?
Wakuu habari zenu, leo naleta mada hii ili wajuvi wa mambo haya ya physics na sayansi zinazohusu silaha mnisaidie.
Mtakubaliana namimi kwamba bunduki inapopiga risasi basi risasi hiyo hutoa...
Anayefahamu naomba anijuze ?
Nasikia hawa watu wana akili sana na ndio maana Hitler aliwaua mamia kwa maelfu na vilevile nasikia kwamba nchi za kiarabu zimeshindwa kabisa kuifyeka hii Israel
Ni...
Hakuna anayependa kusahihishwa, kugombana au kukemewa mbele za watu, hii ndiyo tabia ya watu wajeuri na walio na tabia za kitukutu. Mara nyingine hudhani wanapata sifa. Wako watu wa jinsi hii...
Wana jamvi
Salaam
Kila sehemu lazima kuwe na muongozo wa kufuata ili mambo yaende yanavyopaswa.
Marais wa Marekani hata nchi nyingine wanapewa majina fumbo "code names" kutoka moja ya vitengo...
The Christian is called to love his/her neighbour. This love is to be expressed in a deep concern both for man's spiritual needs and also for material needs in everyday life. The difficulty lies...
Wadau nataka kujua vitu hivyo vinaweza kutumika kumfanya mtu akafanikiwa na ni namna gani mtu ambaye hajihusishi navyo anaweza kuzuia ili visimuharibie biashara zake.
Napenda Niweke Vizuri Jambo hili ambalo wengi hawalielewi.
kwa mujibu wa biblia ktk kitabu cha YEREMIA 32:27, Inasema Mungu Ni Mungu Wa Wote Wenye Mwili. Sasa tafsiri ya hapa ni kwamba Mungu...
Katika pitapita yangu mtandaoni nikakutana na kipisi hichi....ambacho kweli ukikisoma kina ukweli mwingi ndani yake na si Zambia peke yake bali Afrika nzima Tanzania ikiwemo. Nikaona nikelete hapa...
Mwaka 1798 kulitokea badiliko katika serikali iliyoungana na dini baada ya rais na kiongozi wa dini(PAPA) kukamatwa na kuuawa huko ufaransa. Baada ya kifo cha rais na kiongozi wa dini wa serikali...
Explanation of designations:
F is for Fighter, designed for air interception and air superiority.
A is for Attack, designed for air interdiction or air support
Missions
F-14 and F/A-18 are USN...
Kesi ya Yesu kuuawa ilivunja sheria zote.
Kwa mfano ukisoma Biblia utashangaa Yesu alikamatwa usiku akisali kanisani kwake porini kwenye milima ya mizeituni akiomba na wanafunzi wake ambao kwa...
Nimekua nikijiuliza mara nyingi teknolojia inayotumika kutengeneza madaraja yanayopita katikati ya maji eitha kwenye mito mikubwa, ziwa au bararini mfano kigamboni n.k ila sijafanikiwa kupata...
Foiling assassins and breaking up bank scams is all in a day's work for Secret Service agents. But in recent years, the job has grown harder. Today, agents must also protect the President against...
Dunia haijawahi kuchoka kupokea elimu mpya kutoka katika hazina ya Fikra za wakazi wake. Yawezekana Ikawa kweli au mbinu za werevu wachache kutia hofu wakazi wa dunia lakini Gonjwa hili...
Picha nyingi ambazo zimepigwa angani na satellite, nyota huwa hazionekani, lakini kwa mujibu wa wataalamu wa maswala ya anga hudai kwamba hapa duniani tunaweza kuona nyota chache sana kutokana na...
Dear Dr. Magufuli
The following is an extract of the threat letter that was received from Acacia Mining lawyers in London called Quinn Emanual.
The Company is acutely aware of the importance of...
Jamani wana JF poleni na majukumu kila siku, ndiyo wajibu na na haki kwa kila mtu kufanya kazi.
Ndugu zangu sote tumeumbwa na mwenyezi MUNGU lakini katika uwepo wake kwa binadamu, kwa upendo...
Habari za wasaaa.
Asilimia zaidi ya 80% ya mazungumzo yetu hufanya kwa vitendo bila maneno, nikimaanisha mwili huongea zaid kuliko maneno tusemayo.
Hili tendo huwa si la hiyari, kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.