Wakuu!
Time travel, Human Super power, Super Magic power n.k Ni vitu ambavyo navifatilia kila nnapopata nafasi, Na nimekua inspired na bandiko la siku la Pasco kuhusu Power within.
Leo nataka...
Ilikuwa jumapili siku kama ya Leo hali ya hewa ni njema sana watoto walionekana kwa mbali wakicheza michezo ya hapa na pale niliwaangalia Kwa mda kisha nikaingia kulala ili kutuliza akili yangu...
Iran ni nchi ya kiislam ya misimamo mikali ya kutaka kuiangamiza israel
Kuna ukweli wowote kuwa wamarekani, uingereza na ufaransa walimpa sapoti khomein kuanzisha jamhuri ya kiislam ya iran
Hii ni...
Bunduki iliyotaka kumuua Mpelelezi wa Tume ya Dunia John Murphy Ambilikile huko Mexico City, MP5, iliyomuua Kiongozi wa CS-Copenhagen Regner Steiner Valkendorff huko San Antonio, Murphy...
Mimi binafsi nililitilia shaka suala zima la ndege ya Malaysia kutoweka angani na isipatikane kokote kwenye uso wa dunia mpaka hivi leo, bado nalitia mashaka suala hilo kwamba halina ukweli wowote...
Kwa mliowahi sikia naomba tuelimishane hii elimu,Nasikia kuna mji upo huko sijui wapi! wachina wanaweza kujenga mji wowote duniani kwa kutumia mabarafu yaani namaanisha unaweza ukaenda ukakuta...
Jamii forum ni sehemu yenye watu wa kila aina ,(wadukuzi wa mambo) vipo vitu vingi ambavyo vimepata majibu na pia wengi wamefahamu mengi sana kupitia jamii forum (hongereni wote wanaoshiriki...
UKIHADITHIWA tu na mtu yeyote unaweza kusema ni hadithi ya kutungwa, lakini ukweli ni kwamba kuna watu huko kwenye visiwa vya Papua New Guinea ambavyo vimezungukwa na bahari inayoitwa Bismarck Sea...
Let’s call a spade a spade!
The “Mining Bad Boy” of Tanzania, Acacia Mining, owned 63.9% by “Mining Bigger Bad Boy”, Barrick Gold, has its few moments of goodwill whilst in parallel, they cause...
Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa...
watu wanavyo wasifia wachawi inaonekana wachawi ni watu wenye uwezo mkubwa sana.
nasikia kuna waganga wengine ukienda Kwake anakuambia usimuambie matatizo yako.yeye ndio anaanza kukuambia.
jina...
Mind Control N.S.A WE Have No Secrets (Anymore)
The NSA & Synthetic Telepathy:
WE Have No Secrets
(Anymore)
Recent revelations of illegal NSA surveillance activities are no surprise to a...
Langu kwa leo ni kutaka mnisaidie kufahamu, Mh. Iddi Azan mbunge wa Kinondoni anajushughulisha na biashara gani hadi kupelekea kumiliki vitu vingi vya thamani kubwa kama magari ya kifahari sana...
Habari wana jamvi Intelligence..
Nimeamua tushee kidgo juu ya hii siri ya namba 9 katika uumbaji na existance of human race toka uumbaji wa mwwnyezi mungu mpka kizazi tulipo sasa...
Hakika namba...
KAMA HAUKUJUA BASI JUA KUWA
1. Kwa mujibu wascientificamerican.com, Mende anaweza kuishi kwa siku TISA bila kuwa na kichwa.
2. Kuna aina ya samaki aitwae STARFISH ambaye samaki huyo hana...
Napenda kulishaur jeshi letu imara LA polisi kubidili mfumo mzima ,kuanzia wakuu wa vituo vidogo,vya kati na vya kanda maalum,ofisi za upelelezi kwa kubdili watendaji wake ,kwani naamini jeshi...
Wakuu wa jukwaa hili bwana awe nanyi ,yesu ni mwema sana ndugu zangu na hakika aliyashinda mauti
Mimi swali langu ni moja kwenu nataka kujua kwanini shetani ana mupango wa kuitawala dunia hii na...
Ushauri huu kutoka kwa mdau kaongea mambo mengi ya msingi sana
KIPEPERUSHI CHANGU CHA DAWA ZA KULEVYA KIMFIKIE RAIS MAGUFULI
Rais wangu mpendwa, Dk John Magufuli. Nimevutwa kuzungumza nawe...
1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human...
Nilishangaa wiki chache zilizopita msemaji wa jeshi kwenye taarifa yake kwa vyombo vya habari kuna email ID yenye yahoo.co.uk. Hivi kweli jeshi wanashindwa kuwa na dedicated wail server ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.