Nini hutokea na kupelekea risasi kupungua madhara kutokana na umbali?

Good Father

JF-Expert Member
Feb 28, 2014
10,275
18,352
Wakuu habari zenu, leo naleta mada hii ili wajuvi wa mambo haya ya physics na sayansi zinazohusu silaha mnisaidie.

Mtakubaliana namimi kwamba bunduki inapopiga risasi basi risasi hiyo hutoa madhara kutegemeana na umbali wa kitu kilichopigwa na wakati mwingine kutegemeana na aina ya silaha iliyotumika(hasa Kariba ya mtutu).

Kwa mfano Submachine Gun (SMG) risasi yake huweza kuua mtu kwa usahihi endapo umbali wa mpigaji na target usizidi mita 100
Lakini pia kuanzia mita 1500 tunaambiwa risasi hiyo itaishia kujeruhi tu
Sasa hapa naomba nipate majibu kitaalam ni nini hasa kinatokea mpaka risasi ijeruhi tu? Yaani kama ni energy ya kuirusha inapungua naomba nipewe ufafanuzi mzuri hapa maana mpaka leo sijapata jibu kamili.

Nawasilisha
 
Wakuu habari zenu, leo naleta mada hii ili wajuvi wa mambo haya ya physics na sayansi zinazohusu silaha mnisaidie.

Mtakubaliana namimi kwamba bunduki inapopiga risasi basi risasi hiyo hutoa madhara kutegemeana na umbali wa kitu kilichopigwa na wakati mwingine kutegemeana na aina ya silaha iliyotumika(hasa Kariba ya mtutu).

Kwa mfano Submachine Gun (SMG) risasi yake huweza kuua mtu kwa usahihi endapo umbali wa mpigaji na target usizidi mita 100
Lakini pia kuanzia mita 1500 tunaambiwa risasi hiyo itaishia kujeruhi tu
Sasa hapa naomba nipate majibu kitaalam ni nini hasa kinatokea mpaka risasi ijeruhi tu? Yaani kama ni energy ya kuirusha inapungua naomba nipewe ufafanuzi mzuri hapa maana mpaka leo sijapata jibu kamili.

Nawasilisha
Kwa wale waliosoma projectile wanaelewa.
 
Wakuu habari zenu, leo naleta mada hii ili wajuvi wa mambo haya ya physics na sayansi zinazohusu silaha mnisaidie.

Mtakubaliana namimi kwamba bunduki inapopiga risasi basi risasi hiyo hutoa madhara kutegemeana na umbali wa kitu kilichopigwa na wakati mwingine kutegemeana na aina ya silaha iliyotumika(hasa Kariba ya mtutu).

Kwa mfano Submachine Gun (SMG) risasi yake huweza kuua mtu kwa usahihi endapo umbali wa mpigaji na target usizidi mita 100
Lakini pia kuanzia mita 1500 tunaambiwa risasi hiyo itaishia kujeruhi tu
Sasa hapa naomba nipate majibu kitaalam ni nini hasa kinatokea mpaka risasi ijeruhi tu? Yaani kama ni energy ya kuirusha inapungua naomba nipewe ufafanuzi mzuri hapa maana mpaka leo sijapata jibu kamili.

Nawasilisha
Mbona ktk ulichokiandika mwishoni umejijibu vzr MF. Kwa hiyo SMG ni inafika mitre 2160 haina maana ndo risasi inaangukia lkn kitaalam kwa mpigaji ili ajiridhishe mapigo yake ni mitre 1500 risasi inatoboa mwili na kuondoka na ikipiga pressure point inaua na nje ya mitre hizo nayo hutegemea pressure point
 
nijuavyo ni kutokana na nguvu mvutano ya dunia means risasi inakuwa inavutwa kwa kiwango flani hivyo kupoteza kasi yake na friction kati ya hewa na risasi inasababisha risasi kupoteza nguvu yake ya kasi..
kwa sayari ya jupiter nguvu yake ya uvutano ni mara mbili ya dunia hivyo kama ukipeleka hizi bunduki zetu na ukapiga itawahi kudondoka(kupoteza kasi) kama huku inauwezo wa kutembea mita 100 kule itatembea mita 50..lkn kama ukitaka itembee mita 100 ktk sayari ya jupiter utatakiwa uongeze presha ya msukumo zaidi ya bunduki yako,nafikiri hapa hata madhara yataongezeka endapo ukimpiga nayo mtu maana itakuwa strong sana..
sasa nachojiuliza kwa mfano ukipiga risasi kwenye vacuum na pasipo na uvutano je ile risasi itakuwa na kasi ile ile iliyochoropoka nayo hata ikitembea mita 100000..?
 
Kuna mdau kakujibu vema kabisa..

Kinacho make impact kubwa na kuwa high penetration power ni ile momentum na force inayo rushwa kutokwa kwenye firing device

Kadili inavyo safiri, ndipo inapokutana na ukinzani wa hewa, mvuto wa dunia. Hili hupunguza ile force iliyo isukumwa kutoka mwanzon na madhara yake hupungua pia.

NB.
Nguvu ya usukumaji wa cartilage hutofautiana kutoka mtambo mmoja hadi mwingine, mashine kama short gun, SAR, PISTOL, SMG, LMG, MI6 etc huwa na umbali tofauti unaofaaa kwa mapambano.

Mfano, SAR umbali mzuri ni MITA 300. Means zaidi ya hapo, nguvu ya risasi hupungua na hujeruhi tu.
 
if you hold a bullet in one hand and a pistol in the other, both hands at the same height, and subsequently fired the pistol at the same time as dropping the bullet, both bullets would hit the ground at the same time (assuming the fired bullet encounters no obstacles). Is this true..?
 
Wakuu habari zenu, leo naleta mada hii ili wajuvi wa mambo haya ya physics na sayansi zinazohusu silaha mnisaidie.

Mtakubaliana namimi kwamba bunduki inapopiga risasi basi risasi hiyo hutoa madhara kutegemeana na umbali wa kitu kilichopigwa na wakati mwingine kutegemeana na aina ya silaha iliyotumika(hasa Kariba ya mtutu).

Kwa mfano Submachine Gun (SMG) risasi yake huweza kuua mtu kwa usahihi endapo umbali wa mpigaji na target usizidi mita 100
Lakini pia kuanzia mita 1500 tunaambiwa risasi hiyo itaishia kujeruhi tu
Sasa hapa naomba nipate majibu kitaalam ni nini hasa kinatokea mpaka risasi ijeruhi tu? Yaani kama ni energy ya kuirusha inapungua naomba nipewe ufafanuzi mzuri hapa maana mpaka leo sijapata jibu kamili.

Nawasilisha
Kwanza nataka nikusahihishe kidogo ingawa vingi upo sahihi. Kariba ya bunduki sio inayoamua risasi ianze kuleta madhala kuanzia umbali gani bali kazi ya kariba ni kuifanya risasi iende katika usahihi na mnyooko unaotakiwa kutokana na uwezo wa mwendo uliotengenezewa aina hiyo ya risasi . Ndiomaana kila bunduki ina kariba ya ukubwa wake ingawa zipo zingine zinazolingana kama kariba ya SMG, SAR, LMG etc na zote zinatumia aina moja ya risasi.
Kwasababu umechukulia SMG kama ndio reference wacha tusonge nayo hii; kinachoifanya risasi ikimbie umbali fulani na kuua au kujeruhi ni ujazo wa baruti, kuna baruti za aina mbili, baruti nyepesi ambayo kazi yake ni kusababisha mlipuko baada ya Pin kugonga nyuma ya risasi na baruti nzito inayoisafirisha risasi. Baruti hii ndio hujazwa kutokana na malengo ya umbali anaoutaka mtengenezaji. Kwa risasi inayotimiwa na bunduki ya SMG inauwezo wa kusafiri 800m kwa sekunde, kuua kuanzia mlengaji alipo hadi umbali wa 1500m na kujeruhi kuanzia 1500m mpaka inapokosa nguvu na kudondoka chini ambao ni umbali wa 2160. Na nafikili hapa ndipo kipo kiini cha swali lako kwanini hujeruhi kuanzia 1500m?
Nimetengeneza space nitarudi maana natumia simu

Wakuu habari zenu, leo naleta mada hii ili wajuvi wa mambo haya ya physics na sayansi zinazohusu silaha mnisaidie.

Mtakubaliana namimi kwamba bunduki inapopiga risasi basi risasi hiyo hutoa madhara kutegemeana na umbali wa kitu kilichopigwa na wakati mwingine kutegemeana na aina ya silaha iliyotumika(hasa Kariba ya mtutu).

Kwa mfano Submachine Gun (SMG) risasi yake huweza kuua mtu kwa usahihi endapo umbali wa mpigaji na target usizidi mita 100
Lakini pia kuanzia mita 1500 tunaambiwa risasi hiyo itaishia kujeruhi tu
Sasa hapa naomba nipate majibu kitaalam ni nini hasa kinatokea mpaka risasi ijeruhi tu? Yaani kama ni energy ya kuirusha inapungua naomba nipewe ufafanuzi mzuri hapa maana mpaka leo sijapata jibu kamili.

Nawasilisha
Kwanza nataka nikusahihishe kidogo ingawa vingi upo sahihi. Kariba ya bunduki sio inayoamua risasi ianze kuleta madhala kuanzia umbali gani bali kazi ya kariba ni kuifanya risasi iende katika usahihi na mnyooko unaotakiwa kutokana na uwezo wa mwendo uliotengenezewa aina hiyo ya risasi . Ndiomaana kila bunduki ina kariba ya ukubwa wake ingawa zipo zingine zinazolingana kama kariba ya SMG, SAR, LMG etc na zote zinatumia aina moja ya risasi.
Kwasababu umechukulia SMG kama ndio reference wacha tusonge nayo hii; kinachoifanya risasi ikimbie umbali fulani na kuua au kujeruhi ni ujazo wa baruti, kuna baruti za aina mbili, baruti nyepesi ambayo kazi yake ni kusababisha mlipuko baada ya Pin kugonga nyuma ya risasi na baruti nzito inayoisafirisha risasi. Baruti hii ndio hujazwa kutokana na malengo ya umbali anaoutaka mtengenezaji. Kwa risasi inayotimiwa na bunduki ya SMG inauwezo wa kusafiri 800m kwa sekunde, kuua kuanzia mlengaji alipo hadi umbali wa 1500m na kujeruhi kuanzia 1500m mpaka inapokosa nguvu na kudondoka chini ambao ni umbali wa 2160.
 
Back
Top Bottom