Lakini hao innovator wote..waisrael wako nyuma..list ya best scientist of all time ahalf ov them are pples ov israel..unakataa nnWana akili kwenye nini? Umetumia standard gani mpaka ukafikiria kwamba wana akili?
Mfano angalia hizi ni nchi 15 bora duniani kwa uvumbuzi wa vitu
The 15 most innovative countries in the world
Kati ya nchi hizo 15 israel haipo,
Mimi nimetumia standard yangu kwamba ili uonekane na akili inabidi uvumbue na israel hawamo kwenye wavumbuzi bora.
Ukija kwenye iq nchi zenye watu wenye uwezo mkubwa zaidi wa kufikiri baadhi ya research nilizoziona hata top 40 hawamo
https://iq-research.info/en/page/average-iq-by-country#
Albert Einstein. ..mark zugerberg..kekule..and list goes byKabla ya kusema chochote juu ya Israel naomba nikuulize maswali kidogo
1 Je inawezekana ndani au katikati ya Africa kukawa na nchi ya wazungu tupu? au katikati ya bara la Ulaya kukawa na nchi yenye watu weusi tupu?
2 Je katika jamii zote nne za binadamu ni jamii gani ina nywele za blonde
3 Je ina maana wakati waisrael wanakwenda au kusambaa dunia nzima ina maana waliondoka wote nchi nzima?
4 Kwa nini Waisrael waliotoka nchi za ulaya na America ndio wanaribiswa ndani ya israel tofauti na waisrael waliobaki au kutoka sehemu nyingine mfano Africa wanabaguliwa?
5 Nitajie wanasanyansi 3 Duniani waliofanya maajabu kwa uwezo wao mkubwa wa akili na ufahamu ambao ni waisrael
Hawa wa mosad hawajabarikiwa?...kwanini?Waisael wapi unaozungumzia wewe,we wa musa au hawa wa mosad?,Kama jibu ni hawa wa mosadi siyo kweli.
Kwa taarifa yako hawa wa. Mosad ndiyo waoongoza kwa ushoga na kama wewe ni mkristo tambua kabisa kwamba asilimia kubwa ya hawa waisrael wa mosad sio wakristo bali ni Jewish.Hawa wa mosad hawajabarikiwa?...kwanini?
Hahahahhahahaha naona nguvu ya propaganda ya vyombo vya habari inafanya kazi yake owk unasema Albert Einstein. alikuwa ni Muisrael unaweza kunambia alikuwa ni.wa jamii gani kati ya jamii hizi za israel ?Albert Einstein. ..mark zugerberg..kekule..and list goes by
Kama wewe unaona ni propaganda. ..sasa mm nitakuamini vp kama nawe unachonambia sio propaganda. .lets assume everything we be told is propaganda then..Kwa taarifa yako hawa wa. Mosad ndiyo waoongoza kwa ushoga na kama wewe ni mkristo tambua kabisa kwamba asilimia kubwa ya hawa waisrael wa mosad sio wakristo bali ni Jewish.
Waisrael waliozungumziwa kwenye vitabu vya dini sio hawa wa Netanyahu.
The religious affiliation of the Israeli population as of 2011 was 75.4% Jewish, 16.9% Muslim, 2.1% Christian, and 1.7% Druze, with the remaining 4.0% belonging to minor faiths such as Samaritanism, Baha'iism or no religion. Israel does not have a constitution
Hahahahhahahaha naona nguvu ya propaganda ya vyombo vya habari inafanya kazi yake owk unasema Albert Einstein. alikuwa ni Muisrael unaweza kunambia alikuwa ni.wa jamii gani kati ya jamii hizi za israel ?
Ashkenazi jews, Sephardi jews, Turkisa jews, Italian jews , Romaniotes, Gergian , Crimean karaites jews
Nijibu hilo then tutaelimishana vizuri
Pengine hujaangalia hizo links, sio kosa lako. Ngoja nikusomee kidogo hio listLakini hao innovator wote..waisrael wako nyuma..list ya best scientist of all time ahalf ov them are pples ov israel..unakataa nn
Wana akili kwenye nini? Umetumia standard gani mpaka ukafikiria kwamba wana akili?
Mfano angalia hizi ni nchi 15 bora duniani kwa uvumbuzi wa vitunilosikia mm nikwamba eti wao ndo wameijenga usa na ndio ameifanya usa kua sp
The 15 most innovative countries in the world
Kati ya nchi hizo 15 israel haipo,
Mimi nimetumia standard yangu kwamba ili uonekane na akili inabidi uvumbue na israel hawamo kwenye wavumbuzi bora.
Ukija kwenye iq nchi zenye watu wenye uwezo mkubwa zaidi wa kufikiri baadhi ya research nilizoziona hata top 40 hawamo
https://iq-research.info/en/page/average-iq-by-country#
Hata hii ni myth tu, unaijua research ya Iringa? Ile ya wazungu waliokuja kutahiri watu kumbe wanapima ukubwa wa mguu wa tatu?Hata sisi waafrika tumebarikiwa na migegedo mikubwa na dada zetu makalio makubwa.
Ndukiiiii
Mataifa matano? Ujerumani kapiga dunia nzima tena sio mara moja mara mbili kwenye vita vyote vikuu vya dunia. Wanakuja kumshinda kwa kumuekea vikwazo kukosa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu.Ni kweli hawa jamaa wamebarikiwa.
Utaona story ya Daudi na Goliath inavyojirudia pale middle east.
Mwaka 1967 Waisrael waliwapiga mataifa matano ya Kiarabu kwa siku sita. Sikh ya saba wakapimzika.
Walikua na jeshi dogo, silaha chache, ndege chache lakini walishusha kichapo kilichowaogopesha hadi Taiga la Kisovieti LA Urusi.
Haya hayawezi kutokea bila kua na Baraka za Mungu.
Yapo majaribio kadhaa ya kuwafuta katika Uso wa nchi yamefanywa na waarabu, wajerumani, yakashindwa vibaya sana.
Utaona kila taifa lililoiunga mkono Israel lilipiga hatua kubwa kinyume na Yale yaliopingana nayo hata Leo.
Obama aliwapinga matokeo yake chama chake kikashindwa, nyerere alikataa wasiokoe mateka Uganda lakini Kenya walikubali matokeo yake IDD Amin akavamia Tanzania.
So kwa ufupi IPO baraka katika Israel