I call upon all you people out there, critics of religion, people who prefer reason to bullshit, let's come together and discuss and analyze and share our thoughts on religion and faith related...
Mungu alipomuumba mwanadamu alikuwa na mpango mzuri.. alimuumba adam na eva akawaweka katika bustani ya eden. ikiwa na hali ya hewa nzuri, ikiwa na wanyama na matunda na kila aina ya uzuri. lengo...
Nini lilikuwa lengo la Mungu kumuumba mwanamke na mwaume?
Sio kutoa kiumbe kinachofanana nao ili kulinda kizazi? Ili vizazi vya binadamu visipotee kwenye uso wa dunia?
Je tunaitumia ngono...
Makala hii imetoka kwenye gazeti la Tanzania Daima (hard copy) lakini kwenye mtandao haikuwekwa.
TAIFA LILIPOTEKWA NYARA, USALAMA WA TAIFA WALIKUWA WAPI?
Na. M. M. Mwanakijiji
Ningependa...
Mnamo miaka ya 470 BC, Mwanafalsafa mmoja wa kigiriki,kwa jina Empedocles,aliamini kuwa Ulimwengu na kila kitu kilichopo vimeundwa na vitu vikuu vinne; Maji,udongo,moto na upepo kulingana na...
juzi karibia siku nzima nilikuwa nimekaa mbele ya televisheni kushuhidia hatua kwa hatua tukio la kihistoria la kuapishwa kwa Rais wa 45 wa Marekani ambaye anakuwa ndiye Rais wa kwanza wa nchi...
Najaribu kujifikilisha jambo.hapo zamani kabla ya mzungu na mwarabu kutuaminisha imani ambayo mababu zetu hawakuzijua.tuliamini tulichoamini bila jina Muhamad wala Yesu.na tulifanya mambo yote...
Wakuu ninaswali kama sio maswali.
Ni hivi dunia inajizungusha kwenye mhimili wake tunapata usiku na mchana hapo sawa.
Sasa ishu inakuja kwanini hatushuhuudii/kuhisi mzunguko huo? Je ni...
“And I say to you, I have also decided to stick to love. For I know that love is ultimately the only answer to mankind's problems. And I'm going to talk about it everywhere I go. I know it isn't...
Jamani habari za jumapili, napenda kujua kuhusu Kobe kwanini anaishi miaka mingi nasikia eti anafikisha mpaka miaka 500, je kipi kinamfamya aishi maisha marefu hivi, hana bacteria au parasites...
Kuna baadhi ya nchi nyingi barani Afrika ambazo fedha zake zimekuwa maarufu kutokana na uchumi wake kuwa mkubwa na zipo nchi nyingine ambazo pamoja na kuwa na watu wengi kwenye miji yao lakini...
Wakuu nimejaribu kupitia thread mbalimbali kuhusu kifo cha huyu raisi wa marekani na kumekuwa na nadharia mbalimbali;moja ikiwa ni kuwa kulikuwa na utofauti wa kimtizamo pamoja na kiutendaji baina...
Jamani naombeni kujuzwa kwa mujibu wa OPEC ni kwamba asilimia 48 ya mafuta yote duniani hupatkana Middle East.
Kwanini ni Middle East Aid na si kwingineko?
Nakaribisha mawazo.
Wakuu,
Nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa.
Je, ni kiumbe gani hicho?
Mnaokijua tuambieni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.