Kwa mtazamo wa kawaida, madawa ya kulevya ni kitu kinachopigwa vita sana. lakini kiuhalisia haiko hivyo. Kwani watu wanauza madawa haya peupe bila woga wala wasiwasi. Nani yuko nyuma ya biashara...
wakuu Salaaam
Nchi kama China kabla haijafikia ilipo leo makampuni makubwa ya kwanza yalichochea maendelo ilikuwa ni ya jeshi. BAE ya UK ambayo ni kampuni iliyoajiiri waingereza wengi ni...
MUNGU, KIZA NA ULIMWENGU.(100)
1.
Naomba kusimulia,
Mambo yanayo tukia,
Katika yetu dunia,
Usiku ukiingia.
2.
Kiza kikiinukia,
Wasiwasi huningia,
Sababu usiku njia,
Kifo anayo tumia.
3.
Kuna vitu...
Habari zenu wana JF Poleni na Mihangaiko ya Dunia hii.
Okay leo nina swali kuhusu suala la siku ya kufufuliwa wanadamu wote. (Kwa wale wanaoamini kua baada ya kifo kuna siku ambayo...
Utafiti ulifanywa na timu tatu tofauti za watafiti umetoa jumuisho kuwa binadamu wa sasa waliopo ulimwenguni asili yao ni Afrika.
Utafiti uliohusisha mchanganuo wa kijenetiki wa watu 787 toka...
Hizi ndo nchi saba Trump alizozizuia kuingia America kwa madai ni za kigaidi.
– Syria, Iran, Iraq, Libya, Somalia, Yemen, Sudan.
Katika hizo nchi, nchi 5 tayari America ameshazivamia na kuharibu...
Katika upana wa mada hii, nitajaribu kugusia sehemu ndogo sana ambayo ni muhimu sana, namna ya kutatua matatizo kwa njia sahihi. Siandiki hatua za kutatua changamoto zako ila nitakuorodheshea...
[http://raiamwema]
[https://aka-cdn]
Ni kwa nini Israel ina jeshi la kisasa zaidi kwa teknolojia duniani
FEB 01, 2017by MWANDISHI WETUin MAKALA
[Hébergement Internet, Cloud, et Serveurs dédiés...
Ni matumaini yangu kwamba nyote hamjambo na kwamba Mungu anazidi kuwabariki.
Wakuu, katika kusoma vitu mbalimbali wiki hii nimekutana na simulizi moja katika biblia
(MWANZO 30:14-16)...
Why should I live? ( kwa nini niishi na kwa nini ninaishi?) who am I?(mimi ni nani?)What is the purpose of life?
Ukishindwa kupata majibu ya maswali haya basi kifo cha kujinyonga (suicide death)...
Baada ya kuangalia CSI, na channels za CI na ID, nimebaki najiuliza, ivi? kuna serial killers hapa Tanzania? nikakumbuka miaka ya nyuma, kulikuwa na stories za mtu anaua changudoa na kuwaacha...
Habari wakuu, natumai mnaendelea vizuri na sikuku za christmas na wale ndugu zangu na mimi tunapiga kazi kama kawaida.
Nimeanzisha huu uzi ili tubadilishane uzoefu na elimu kuhusu taifa ili la...
WANASAYANSI wa Kituo cha Anga cha Marekani (NASA), wamegundua jiwe kubwa lenye utajiri wa kutisha wa madini ya aina mbalimbali linaloelea angani.
Thamani ya utajiri wa madini yaliyopo katika jiwe...
Salaam ndugu,
Huu uzi nimeanzisha kwa madhumuni ya kuwasaidia wale wasio na imani kwa MUNGU kutokana na sababu kadha wa kadha walizonazo.
Kwa kuanzia, naanza na maswali yanayoweza kuanza kujenga...
North Korea 2004, Treni ya mizigo ilikuwa ikisafiri katika moja ya miji yake iliyopatikana kaskazini mwa nchi hiyo iliyogubikwa na inayoendelea kugubikwa na usiri mkubwa juu ya mambo yake...
Fani ya ujasusi inakua siku hadi siku na kila kukicha zinaibuka mbinu mpya za kiulinzi.
Hiyo mikono ya bodyguard wa Rais Trump haiendani na mwendo wa mwili, ni mikono bandia, mikono halisi...
Wengi wamekuwa wakishangaa ni kwa nini macho huonekana mekundu kwenye picha pindi wanapopiga picha hususani nyakati za usiku kwa kutumia kamera yenye mwanga(flash).
Wakati wa giza mboni ya jicho...
Kazi kubwa ya mashirika ya kijasusi ni kukusanya, kuchambua na kuzifanyia kazi taarifa mbalimbali kwa ajili ya usalama wa taifa lolote na watu wake. mashirika yafuatayo yanaongoza kwa kuwa na...
Sayansi ya Teknolojia ikiwa inaendelea kushika kasi siku hadi siku, chumba hiki maalum kilichojengwa juu ya safu za milima ya Alpine iliyopo Ufaransa kimepata kuwa kivutio kikubwa kwa watalii...
NCHI ZINAZOMILIKI AIRCRAFT CARRIER DUNIANI NA IDADI
Na Thabit Karim Muqbell
Dunia ina aircraft 19 zinazofanya kazi, lakini zilitengenezwa nyingi huko miaka ya nyuma. Uchakavu na teknolojia duni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.