Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa. Je, ni kiumbe gani hicho? Mnaokijua tuambieni
4 Reactions
258 Replies
65K Views
Ramani ya Guantánamo Bay Wafungwa walipofika mwaka 2002 Guantanamo Bay au Hori ya Guantanamo (kwa Kihispania Bahía de Guantánamo) ni hori ya Bahari ya Karibi inayoingia kusini mwa kisiwa cha Kuba...
7 Reactions
13 Replies
8K Views
Ubinafsi wa kiakili ni ile hali ya kuamini fikra zako tu binafsi.Tunapofikri kwa mtindo huu,hatutaweza kufahamu mawazo,hisia na mihemko ya wengine. Huu ni mtazamo wa kiasili ambapo tunaguswa...
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Wakuu Jeshi ni Moja ya kitu muhimu sana kwa ustawihi wa Taifa lolote ulimwenguni tumekuwa tukishuhudia Budgets kubwa kabisa mataifa mbalimbali zikielekezwa katika majeshi, Ili uwe safe na jeshi...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Why Does the Bible Speak Against Braided Hair? The Christian Post March 30, 2017 7:26 pm There are some Christian sects that interpret the Bible literally to the point of imposing certain...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni dhahiri makonda alienda kuvamia clouds akiwa na jeshi la wananchi na Polisi. Makonda sio commander wa jeshi la wananchi wala la polisi. Je, iwapo walinzi wa clouds wangerusha risasi kwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nmekuwa nikijiuliza hili swali muda mrefu. Ukiacha kuwa dhahabu inatumika kutengenezea mapambo au kuonesha utajiri nini kingine kinachoipa dhahabu uthaman? Wazo nililo nalo ni kuwa uthaman wa...
14 Reactions
75 Replies
23K Views
Hivi karibuni tumeshuhudia kuwepo kwa sintofahamu baina ya mataifa matatu ambayo ni China, Korea kusini na Marekani kufuatia kile kinachodaiwa na Uchina kwamba ni mpango wa Marekani kutishia...
4 Reactions
44 Replies
13K Views
Nimekuwa Nikisoma Na Kufuatilia Hii Mada Kwa Mwaka Sasa. AfroAmericans Wanasema Wao Pamoja Na Bantus From Ashanti,Nigeria,Ghana,Congo Angola,Cameroon Pia Blacks From Carribeans,Ethiopeans Ndio...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii dhana ya kuwa Binadam walitokana na nyani inawezekana kwa Waafrika ikawa ina ukwel flan. Ukikaa kwa makini ukatafakari mambo yanayoendelea katika nchi za kiafrika. Na yanayotendwa na waafrika...
15 Reactions
35 Replies
6K Views
Why are so many scientists atheists/agnostics despite so many miracles in nature?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Soma Hapa Kalenda tunayo tumia leo imetokana na kalenda ya Juliani ya kirumi. Hapo zamani kalenda hii ilikuwa na miezi kumi tu katika mwaka. Ndio maana Desemba tafsiri yake kwa lugha ni mwezi wa...
0 Reactions
35 Replies
19K Views
Kama mtu mwenye uelewa kiasi kuhusu utendaji kazi wa Idara yetu ya Usalama wa Taifa, nimekuwa 'nikipiga kelele' mara kwa mara kuhusu haja ya mageuzi ndani ya taasisi hiyo nyeti. Kwa bahati mbaya...
24 Reactions
65 Replies
13K Views
Hakuna anependa uchafu awe masikini au tajiri, ila kukosekana kwa mpango maalumu kwenye eneo husika mara nyingi huwa ni chanzo cha uchafu maana kila mmoja anategemea mwenzake afanye na hivyo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Sehemu nyingi duniani tunatumia kalenda ya kirumi au gregarian calender, kwa heshima aliyopewa pope gregory kwa mchango wake katika kalenda hii. ilikuwa ni mwaka 1582,ambapo watu walilala...
5 Reactions
158 Replies
21K Views
Siku ya jumanne wiki hii, mtandao wa WikiLeaks ulitoa taarifa za siri zipatazo 8761 ambazo zinaeleza kuhusu shughuli za ujasusi zinazofanywa na shirika la ujasusi la Marekani la CIA kwa kutumia...
13 Reactions
82 Replies
11K Views
Unakuta mtu anazaliwa akiwa na ulemavu wa viungo,ama hana kiungo kimojawapo,ama mtu ana jinsia mbili nk.Je nani anahusika na jambo hili?Kama binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu,je ni sehemu gani...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Katika Dunia tuishiyo sasa binadamu hatuko peke yetu, lakini tumejijengea dhana kuwatunaishi peke yetu huku tukisahau kuwa Mungu kaumba viumbe kadha wa kadha vinavyoonekana na visivyoonekana...
9 Reactions
9 Replies
11K Views
Kuna mambo mengi usiyoyajua kuhusu ikulu ya marekani ambayo pengine kwa msomaji anaweza kushangazwa akiyajua.Hivyo katika kusherehekea Sikukuu ya Rais baadhi ya watu waliweza kutoa mambo 11 kuhusu...
20 Reactions
44 Replies
15K Views
Back
Top Bottom