Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Nimeamua kuandika hili baada ya Kuona kuwa kumekuwa na Upotoshaji Mkubwa kila siku zinavyoenda kwa hizi nadharia mbalimbali za kimatukio wakizihusisha na namba. Conspiracy theories...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Leo nataka tuifahamu kwa undani hii sayari ya Jupiter. Naanza wewe utaongezea au kurekebisha. 1. Ni sayari ya 5 kwa umbali kutoka jua letu (star). 2.Ni sayari kubwa kuliko...
21 Reactions
141 Replies
34K Views
Nawasalimia wana JF wote. Leo nipo hapa kuongelea swala hili la kufanya miujiza na uponyaji. Kwanza awali ya yote ningepeda kutoa utangulizi kama ifuatavyo. UTANGULIZI Sisi binadamu tuko na...
14 Reactions
252 Replies
46K Views
HERUFI ''M'' INA ASHIRIA WEWE MTU WA BAHATI KUBWA UNAWEZA KUWA NA PESA NYINGI AU KUWA KIONGOZI MKUU KATIKA MAMBO YA SIASA AU KUWA WEWE MTU MWENYE AFYA NZURI, AU KUWA NI MWANASHERIA AU HAKIMU AU...
2 Reactions
118 Replies
51K Views
Baada ya Adam na hawa kuumbwa sijasikia tena wala kusoma kama uumbaji uliendelea kufanyika.sote baada ya hapo tumekua tukizaliwa tu! Sijaona dunia ikijaa wala kusikia mbingu kujaa! Nahisi watu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
IS IT A SIN TO DRINK ALCOHOL? Various researches have shown that Breweries Companies are indeed performing better and better everyday WHY? The answer is that there are many more drinkers than non...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
  • Redirect
INTRO Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa maisha kiujumla una maswali mengi sana abayo hayana majibu kamili...
23 Reactions
Replies
Views
UKARA KISIWA CHA TANZANIA KILICHOBADILI uchumi wa dunia kimfumo . JUNE 20, 1920 Gazeti maarufu la marekani lijulikanalo kama The New York Times( NYT) lilichapisha habari kuhusu kisiwa cha...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kikundi cha wanajiolojia watafiti Katika makala haya, tutaangalia jinsi wanasayansi wa kawaida, tena ambao walikuwa hawaamini kabisa kwamba kuna Mungu au shetani, katika utafiti wao ambao...
3 Reactions
35 Replies
19K Views
Katika pitapita zangu nimekutana na documentary moja inayoelezea mantiki nzima ya New Word Order NWO, Kuna mengi yameelezewa lakini haya machache yamenifanya niamini kama ni kweli basi hakuna...
12 Reactions
209 Replies
22K Views
There is no original Swahili word to mean Money. This is revealing truth which came after the intensive research that I have done. The word that are in use in Swahili language to mean Money are...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Wanadamu tunaamini katika maisha baada ya kifo, ingawa maisha haya yanapishana kutokana na dini mbalimbali, lakini kwa ujumla common ground ni kuwa tutaishi baada ya kufa. Msingi wa maisha baada...
2 Reactions
213 Replies
18K Views
Habari zenu wanajf,ni njia gani sahihi zaidi ya kukabiliana na uoga,watu huita phobia wengine huita anxiety,wataalamu karibuni mfafanue
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Napenda kuleta mjadala huu kwenu GTs, katika level zote nilizowahi kusoma, nilikutana na course ya psychology kwenye level ya Diploma na First degree, kwa bahati mbaya sikuona topic iliozungumzia...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Kama mungu aliumba binadamu na vitu vyote, basi mungu alihusika kumuumba shetanii. Kwahiyo asingekuwa shetani kusingekuwa na dhambii?
1 Reactions
18 Replies
1K Views
wakuu habari zenu,poleni na majukumu ya kazi . Kama kichwa cha habari hapo juu kisemavyo,muda mrefu sasa nimekuwa nikijibizana na nafsi yangu juu ya muonekano sahihi wa dunia yetu hii kutoka anga...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Sehemu ya walinzi wanao linda makao makuu ya papa (baba mtakatifu) huko Vatican . Vigezo vya kuwa mlinzi wa Vatican ni kama ifatavyo: 1.Lazima uwe mkatoliki 2.Lazima uwe haujaoa (msela). 3.Lazima...
7 Reactions
88 Replies
27K Views
Paul Kagame - Wikipedia, the free encyclopedia Jakaya Kikwete - Wikipedia, the free encyclopedia Controversy about Kikwete's encouragmeent of negotiations between Rwanda and the FDLR On 26 May...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Habarini humu! Moja kati ya maswali ambayo najiuliza ni kama Mungu hayupo sasa mbona ni jina maarufu sana, nafikiri ni jina pekee lenye kuabudiwa kwa namna tofauti tofauti.. sasa kama hayupo...
7 Reactions
453 Replies
25K Views
"Maandamano ya kupinga ada ya vyuo vikuu Afrika Kusini" Wiki iliyopita, wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Afrika Kusini walianza kufanya maandamano ya kupinga ongezeko la ada kwa asilimia 10.5 katika...
0 Reactions
4 Replies
869 Views
Back
Top Bottom