Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Binafsi naomba tamko la mkuu wa nchii hii kuhusu hii mifuko ya hifadhi ya jamii maana sasa imekuwa ni taabu tupu. Mara ya kwanza NSSF mlikubali mwanachama anaweza kufungua madai ya kujitoa baada...
0 Reactions
38 Replies
9K Views
LAPF imewatoa hofu wanachama wake kuwa faomla kujitoa bado linatolewa na mfuko huo kisheria Meneja wa mafao wa mfuko huo Mkeyenge Ramadhani amesema ili kutoa kitu chochote ambacho kipo kisheria ni...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Wadau, Mimi nimefanya kazi miaka 12 nikaamua kuacha kazi nikiwa na biashara zangu ndogo ndogo nikajua kiasia nilichonacho NSSF around 60milioni ingeniwezesha kupanua biashara zangu na kwenda...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Hivi Kwa Nini TUCTA Hawazungumzii Fao La Kujitoa? Tangu uongozi mpya wa TUCTA chini ya akina Tumaini Nyamhokya uanze kazi, sijawahi kuusikia ukizugumzia fao la kujitoa, tofauti na uongozi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimetazama tangazo la pipi nadhani kama aikosei ambalo linamuonyesha Benpol akiwa kama msanii wa uchoraji anachora picha na wasichana wanapita njiani anawaita anawaambia "unaona" amekazana halafu...
0 Reactions
1 Replies
694 Views
Habari wakuu! Japo ni mtembeaji sijawahi ku apply Visa Ubalozini, ama nimeingia kwa free visa/entry permit kwa nchi za ki Africa, nje ya Africa nimekuwa nikitumiwa visa..... Kwa Wazoefu au...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mh kalisti lazaro Meya wa jiji la Arusha amefanikisha maonyesho ya kimataifa kwa makampuni yanayo fanya shughuli zake ndani ya jiji la Arusha mh Mgeni Rasmi Naibu waziri wa Mambo ya ndani Suzan...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau Huo ni ujumbe maalumu unaoelekezwa kwetu sote katika kampeni maalumu ya kupinga ukatili wa kijinsia. Kampeni hiyo itakuwa ya siku 16 kuanzia leo tarehe 25/12/2017 Kauli Mbiu: Funguka Karibuni.
0 Reactions
0 Replies
876 Views
Kwa tarifa rasmi zilizopo kutoka Clouds media.Fiesta itapigwa mpaka asubuhi na kibali kimetolewa toka magogoni.
12 Reactions
88 Replies
10K Views
Nimesikia leo kwenye kipindi cha Jahazi na Amplifier kwamba Fiesta itafanyika hadi asubuhi. Kibonde alisema 'asalam aleykum mh Magu kwa kauli mbiu hapa kazi tu' kwamba bandarini watu wanapiga kazi...
12 Reactions
50 Replies
5K Views
Bwana Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Mbarak Kajia auawa na kundi la watu wasiojulikana kwa kupigwa mawe alipokuwa akitekeleza majukumu yake wilayani Kilindi mkoani Tanga.
2 Reactions
12 Replies
4K Views
JESHI la polisi nchini limesema hadi sasa hakuna watu waliojitokeza kutambua au kulalamika kwamba wamepoteza ndugu zao kufuatia kuwapo kwa idadi kubwa ya miili inayookotwa maeneo mbalimbali...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Poleni na kazi wajameni, Leo hii nimekaa na vijana wangu kwenye banda letu tunapouziaga majeneza niko na kasimu kangu ka tecno M3 kale kakizamani (vile vya promosheni ya wale jamaa) sasa niko...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Waungwana hivi ipi ni sahihi kati ya 'Mbashara' na 'Mubashara?' Maana naona Azam TV wameandika 'Kandanda Mbashara'
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mitandao ya simu sijui wameshiba hela au vipi! Kauli ya Dr shika itapendeza! Nilitarajia kuikuta kwenye uzinduzi wa vifurushi vipya Vya vodacom, au tigo Halotel nk! Dr angepiga hela na mitandao ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
habary wanajamvi! kutokana na kua na mitandao nyingi nchini ipi hasa mtandao ulio mzuri kwanza kwa huduma bora!na pili unafuu kwa hally yetu ya vyuma vimekaza?mie ni mteja mzury wa voda na kwangu...
1 Reactions
71 Replies
11K Views
Aliye na namba ya mfanyakazi yeyote, au afisa masoko wa Jielong Holdings (T) ltd wazalishaji wa mafuta ya Urafiki ya alizeti Shinyanga naomba anisaidie.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu yupo tayari kutaja majina ya waliohusika kushambulia; kinachotakiwa ni Jeshi la Polisi kutuma maofisa wake jijini Nairobi, Kenya ndani ya siku 30...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Kutokana na ukuaji wa miji na viwanda, mahitaji ya maji nchini yameongezeka na kusababisha changamoto ya upatikanaji wa maji katika maeneo ya vijijini na mijini, hali inayotishia kukwamisha juhudi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom