Wanabodi nisiwachoshe sana,Salaam?
Kuna ndg anaitwa Elias Jonas Samson vyeti vyake vimeokotwa msamvu stand ya mabas morogoro
O.level amesoma st peter,A.level amesoma Nyegezi seminary,na chuo...
Jamaa mmoja alichomwa mshale na mtu aliyefanikiwa kukimbia bila kuonekana, akiwa kwenye maumivu makali akabahatika kupata msaada na kupelekwa hospitali
Cha kushangaza sana akakataa matibabu...
Tangu jana na juzi kumekuwepo na madai kuwa payroll zinaonyesha kuwa kutakuwa na increment katika mishahara ya mwezi huu kama bwana mkubwa alivyoahidi.
Sasa wadau,leo ndio mishahara imetoka na...
Amehami CCM rasmi, naye ameonyesha "kukunwa" na kasi ya Rais Magufuli, mpaka 'kadandia mchuma'. Sasa kwa kuwa RaisMagufuli ana operation ya kubomoa makazi ya raia yanayodaiwa kuwa ndani ya maeneo...
Section 4 & 6 inaanzisha mfuko mpya, unaitwa Public Service Social Security Fund. (PSSSF)
Section 77 Inafuta mifuko yote ilokuwepo ispokua NSSF.
S.81 Hata Voluntary Schemes za mifuko ilofutwa...
Habari za jioni wanabodi.
Ni utaratibu uliokithiri kwenye jamii nyingi bila kuangalia dini zao ama makabila yao, unakuta kwenye msiba mtu amefariki anazikwa na suti,vito vya thamani kama cheni...
Rais John Magufuli amemteua Katibu Mkuu wa zamani, Dk. Willibrod Slaa kuwa balozi.
Taarifa za iliyotolewa jana na Ikulu ilisema Dk. Slaa ataapishwa baada ya taratibu zote kukamilika.
Hata hivyo...
Musa alikuwa akifanya kazi za ulinzi katika kata ya Itope aliuuawa kwa kipigo na wananchi wenye hasira kali kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake Salome ambaye alifahamika kwa jina moja hilo, mwishoni...
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imefanikiwa kufanya upandikizaji wa figo kwa mara ya kwanza
Hii itakua imeondoa gharama ya Sh900,000 kwa wiki kwa ajili ya kusafisha figo kwa wenye matatizo hayo...
Imethibitishwa dawa hizi zinasababisha kuharibika kwa figo.
Kindly forward to your relatives in Africa.
The list of drugs against malaria removed from the market in the European Union.
The...
Nimesikia kwenye taarifa ya habari ya asubuhi toka UFM akihojiwa kaka yake Lissu na kudai kuwa, familia iliandika barua kwenda ofisi za Bunge kuomba Bunge kuchukua jukumu la matibabu ya Tundu...
Wafanyabiashara wa Soko la Kimataifa la Kariakoo wamelalamikia gharama za uondoshaji mzigo bandarini kudumaza ufanisi wa shughuli zao.
Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo (JWK)...
Umoja wa Ulaya (EU) umeitaka serikali ya Tanzania kuimarisha taasisi za uwajibikaji na uwazi kwa kupanua wigo wa Asasi za Kiraia kufanya kazi na jamii ili ifanikiwe katika mapambano dhidi ya...
Hili ndio swali nalojiuliza mpaka sasa huku mpaka leo hii ikiiwa ni tarehe 24 mishahara bado haijatoka kwa baadhi ya watumishi kitu ambacho sio cha kawaida kabisa.
Je,ile ahadi ya kuongeza...
MWENYEKITI WA CHAMA CHA WENYE VIWANDA VYA KUTENGENEZA DAWA TANZANIA, RAMADHANI MADABIDA.
KIWANDA cha Tanzania Pharmaceutical Industry (TPI), ambacho ni pekee cha kutengeneza dawa za kufubaza...
Hi great thinkers.
Nawashauri watumishi wa umma kuwa na files zao nyumbani kurekodi kila tukio hasa ya kuonewa.Hii itasaidia kuwa na kumbukumbu ya matukio uliyo fanyiwa na ofisa au maofisa kwa...
Kwa sasa kama kuna kampuni ambazo ni hovyo kwenye eneo la internet basi haya makampuni mawili yanastahili kupewa tuzo ya huduma duni. zaidi ni hawa jamaa wa Halotel hapa nakumbuka usemi wa wahenga...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe atuma salamu za pole kwa kituo cha redio cha Clouds kwa ajali ya moto > Aagiza taasisi zinazohusika kufanya uchunguzi wa kina...
Mh mkuu wa mkoa,
Pole na majukumu..pamoja na kuleta barua ya malalamiko kwa kinachoendelea huku kawe naamini ama umeipata ama iko njiani kukufikia
Wakazi wa kawe wameshangazwa na kinachoendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.