Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 548
Kwanini taasisi nyingi za serikali hazitumii efd kama wafanya biashara wanapotoa risiti?
Mfano; unaweza kwenda idara ya maji, mtu ukalipia kila kitu lakini mwisho unapewa risiti ya kuandika.
Kwanini serikali haiwi mfano kwa watu wake kuagiza taasisi zake kutoa risiti za efd?
Hivi hawa wahasibu hawatuchakachui kweli na risiti zao za kuandika?
Mfano; unaweza kwenda idara ya maji, mtu ukalipia kila kitu lakini mwisho unapewa risiti ya kuandika.
Kwanini serikali haiwi mfano kwa watu wake kuagiza taasisi zake kutoa risiti za efd?
Hivi hawa wahasibu hawatuchakachui kweli na risiti zao za kuandika?