Wanajamvi ; mgawo wa umeme ulikuwa umekwisha lakini baada ya utafiti mdogo kila siku maeneo ya Temeke [; Umeme umekuwa wa mgawo.
Jana na juzi umeme unakatika saa 2:58 usiku ; kurudi asubuhi...
Binafsi naomba tamko la mkuu wa nchii hii kuhusu hii mifuko ya hifadhi ya jamii maana sasa imekuwa ni taabu tupu.
Mara ya kwanza NSSF mlikubali mwanachama anaweza kufungua madai ya kujitoa baada...
LAPF imewatoa hofu wanachama wake kuwa faomla kujitoa bado linatolewa na mfuko huo kisheria
Meneja wa mafao wa mfuko huo Mkeyenge Ramadhani amesema ili kutoa kitu chochote ambacho kipo kisheria ni...
Wadau,
Mimi nimefanya kazi miaka 12 nikaamua kuacha kazi nikiwa na biashara zangu ndogo ndogo nikajua kiasia nilichonacho NSSF around 60milioni ingeniwezesha kupanua biashara zangu na kwenda...
Hivi Kwa Nini TUCTA Hawazungumzii Fao La Kujitoa?
Tangu uongozi mpya wa TUCTA chini ya akina Tumaini Nyamhokya uanze kazi, sijawahi kuusikia ukizugumzia fao la kujitoa, tofauti na uongozi...
Nimetazama tangazo la pipi nadhani kama aikosei ambalo linamuonyesha Benpol akiwa kama msanii wa uchoraji anachora picha na wasichana wanapita njiani anawaita anawaambia "unaona" amekazana halafu...
Habari wakuu!
Japo ni mtembeaji sijawahi ku apply Visa Ubalozini, ama nimeingia kwa free visa/entry permit kwa nchi za ki Africa, nje ya Africa nimekuwa nikitumiwa visa.....
Kwa Wazoefu au...
Mh kalisti lazaro Meya wa jiji la Arusha amefanikisha maonyesho ya kimataifa kwa makampuni yanayo fanya shughuli zake ndani ya jiji la Arusha mh Mgeni Rasmi Naibu waziri wa Mambo ya ndani Suzan...
Wadau
Huo ni ujumbe maalumu unaoelekezwa kwetu sote katika kampeni maalumu ya kupinga ukatili wa kijinsia. Kampeni hiyo itakuwa ya siku 16 kuanzia leo tarehe 25/12/2017
Kauli Mbiu: Funguka
Karibuni.
Nimesikia leo kwenye kipindi cha Jahazi na Amplifier kwamba Fiesta itafanyika hadi asubuhi.
Kibonde alisema 'asalam aleykum mh Magu kwa kauli mbiu hapa kazi tu' kwamba bandarini watu wanapiga kazi...
Bwana Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Mbarak Kajia auawa na kundi la watu wasiojulikana kwa kupigwa mawe alipokuwa akitekeleza majukumu yake wilayani Kilindi mkoani Tanga.
JESHI la polisi nchini limesema hadi sasa hakuna watu waliojitokeza kutambua au kulalamika kwamba wamepoteza ndugu zao kufuatia kuwapo kwa idadi kubwa ya miili inayookotwa maeneo mbalimbali...
Poleni na kazi wajameni,
Leo hii nimekaa na vijana wangu kwenye banda letu tunapouziaga majeneza niko na kasimu kangu ka tecno M3 kale kakizamani (vile vya promosheni ya wale jamaa) sasa niko...
Mitandao ya simu sijui wameshiba hela au vipi! Kauli ya Dr shika itapendeza! Nilitarajia kuikuta kwenye uzinduzi wa vifurushi vipya Vya vodacom, au tigo Halotel nk! Dr angepiga hela na mitandao ya...
habary wanajamvi! kutokana na kua na mitandao nyingi nchini ipi hasa mtandao ulio mzuri kwanza kwa huduma bora!na pili unafuu kwa hally yetu ya vyuma vimekaza?mie ni mteja mzury wa voda na kwangu...
Aliye na namba ya mfanyakazi yeyote, au afisa masoko wa Jielong Holdings (T) ltd wazalishaji wa mafuta ya Urafiki ya alizeti Shinyanga naomba anisaidie.
Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu yupo tayari kutaja majina ya waliohusika kushambulia; kinachotakiwa ni Jeshi la Polisi kutuma maofisa wake jijini Nairobi, Kenya ndani ya siku 30...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.