Wanasiasa kuweni na akiba ya maneno.Kumbukeni Kamanda Lowassa amewatangulia kuijua Siasa, Katiba ya nchi anaijua, Ikulu amekaa kwani Waziri Mkuu Ana ofisi pale hakukurupuka kusema atamwachia Babu...
Wakuu hawa watu ni janga mno unaweza kutuma pesa kwa bahati mbaya ukawa umeikosea na ukawahi kuwapigia simu kisha wanakujibu tumeuzuia sasa usubir masaa 24 unaweza kusubir hayo masaa 24 na bado...
Siku chache baada ya Raisi Magufuli kutangaza kubomolewa kwa jengo la Tanesco kuna sms ilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa watu wajiandae, wanunue umeme mapema maana siku yoyote yawezekana...
TAARIFA YA UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM) KWA VYOMBO VYA HABARI.
_______________
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana Agosti 29 kimezindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani...
Ni vema tukafahamu kwamba katika maisha rafiki anaweza kuja kuwa adui au msaliti kwenye mambo mengi sana yakiwemo mambo ya kwenye mapenzi, biashara, kupata nafasi kazini, mahusiano na marafiki...
Kumekuwa na tuhuma nyingi sana kwamba kuna Wanyarwanda wapo nchini wanafanya kazi kwenye taasisi za umma vikiwemo vyombo vya usalama, huku lengo lao likiwa ni kuiba taarifa na kupeleka walipo...
Habari zenu wakuu.
Mi ni miongoni mwa wateja ambao wanatumia sim bank.
Sasa sehemu ambayo naomba nisaidiwe ni hapa.
Ikiwa mwanzo ulikua unatumia line ya tigo ghafla sehemu uliyokwenda ikawa haina...
Hbr wapendwa.
Najiuliza,
Tunaambiwa kanuni ya mwandishi wa habari n kuweka mizania ktk habari husika kwa pande zote.
Mbona sijaona mwandishi yeyote atuhabarishe kuhusu waathirika walivyolipokea...
Unaweza kuongeza uliyokutana nayo au ya kwako.
"Zangu source hazijulikani"
Mfalme wa Italia wa 18, Umberto alikwenda mgahawani huko Monza na Mkuu wa majeshi Emilio Ponzia Vaglia. Mmiliki wa...
Baadhi ya wakazi wa Kiangu na Chuno mjini Mtwara wamelazimika kuyahama makazi yao yaliyojaa maji baada ya mvua kunyesha.
Mvua ilinyesha usiku wa kuamkia jana Jumamosi Desemba 9,2017 saa nane...
Nianze kwa salamu ziwafikie wanajamvi wooote, nimatumaini yangu muwazima wa afya njema!
Nirudi kwenye maada, takriban siku 20 zimepita toka nisajil laini yangu ya simu katika mawakala wa moja...
Wakuu samahani naomba mnisaidie
seriez online ina subtittle ila nikiidownload inacheza bila subtittle
Nimetumia VLC Nina pc kupitia idm asante
Nimeipenda Dramacool kwa sababu unadownload file...
Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu ambaye anaendelea na matibabu nchini Kenya jijini Nairobi amefunguka na kusema kuwa wanaendelea kupigana na watashinda vita hiyo.
Lissu amesema hayo...
Huu ni wimbo uliotolewa na Bushoke mwaka 2005 akimuombea msamaha.Bushoke ukimsikiliza katika huo wimbo anasema "Watu wanaishikilia kesi ya P",anaendelea kusema "Rais mtoa P,watu wanampenda...
Marafiki wa Isaac Habakuk pamoja na wadau ambao hawakupendezwa na hukumu dhidi yake ya kwenda gerezani miaka 3 au kulipa faini ya milioni 7 kwa kudaiwa kumtukana Rais Magufuli kupitia mtandao wa...
wadau kiukweli hii hali ya uchumi ni kufa kufaana. imesaidia sana wale mademu waliokuwa wanazingua sana zamani ... aaahh.. sasa wamekuwa wepesi kama unyoya tu.yaani kama upo fresh kila siku...
Takwimu za Shirika la takwimu la Taifa (NBS) zinaonesha mfumuko wa bei Tanzania kushuka kutoka 5.1% mwezi Oktoba hadi 4.4% mwezi Novemba.
Tanzania Annual Inflation Decrease to 4.4% in November...
Kamanda wa polisi mkoa wa Dar amesema hakuna ushahidi kuwa waliowapiga wananchi Ukonga ni askari, na ametaka mtu yeyote mwenye ushahidi aupeleke.
Ameelezea watuhumiwa hao walipokuwa wanawapiga...
Salam zenu wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza,
Ndugu zangu nimefikia uamuzi huu kutokana na ushauri mfupi na mzito kutoka kwa kaka yangu na pia kwa kuwa naona nafsi inamsuta sana.
Niseme tu...
Salaam wana HHM
Jamani mi nina mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 4 na miezi kama 8 hivi
Huyu mwanangu anaishi na mamake mkoa jirani na ninaoishi Mimi,kila Mara napata malalamiko toka kwa...