Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Jaman ninatembo crd yani visa card ya CRDB bank,ila sikuwahi kuitumia kwa manunuzi ya online ila nimejaribu kununua kitu online nikakutana nakitu kilichonikwamisha na ni access code na account...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Good morning! Tupo kwenye foleni ndani ya basi tunasubiri muda rasmi wa kuondoka kwenda Dar. Saa 12:00 juu ya alama mabasi yanaruhusiwa kuondoka Nimefurahishwa sana na Time Management ya...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakuu naomba kueleweshwa hapa. Wakati nasikiliza habari leo asubuhi, alisikika Mh. Ummy Mwalimu waziri wa afya, alikuw akiongea na wananchi akisema Tanzania inapoteza bilioni 340 kila mwaka kwa...
0 Reactions
7 Replies
835 Views
Katika hali yakaida nyoka ni mnyama ambaye ni adui mkubwa wa binadamu. Lakini nashangaa kuona baadhi ya hospital tena zile zinazo milikiwa na taasisi za kidini katika nembo zao kuweka picha ya...
2 Reactions
45 Replies
29K Views
Abari wadau ? Naombeni ushauri nimetuma m pesa namba isiyo sahihi kuhamaki jamaa kashaitoa nawapigia voda wanasema hawana namna kashaitoa pesa kwaiyo hawawezi nisaidia, naombeni ushauri wadau ni...
2 Reactions
46 Replies
7K Views
CWT hawana uwezo wa kutetea walimu kamwe *Na commred Chichimizi* CWT.....ni zao la muajiri mfumo wa trade unions Tanzania ulianzia serikalini ndo maana hata kudai uhuru ulishiriki hivyo cwt...
0 Reactions
0 Replies
621 Views
#HISTORIA DONDOO MUHIMU KUELEKEA SHEREHE ZA UHURU WA TANGANYIKA SHEIKH SULEIMAN TAKADIR SHUJAA "ALIYETOSWA" Sheikh Suleiman Takadir alikuwa mwanaharakati mzalendo na mwanazuoni wa Kiislamu...
8 Reactions
13 Replies
3K Views
Kijiografia inajulikana kuwa The Sun as a star is the source of all light and heat on the earth.... Kwa maana ya kuwa jua ndiyo chanzo kikubwa cha mwanga wa duniani na joto vilevile, Nimekuwa...
1 Reactions
105 Replies
16K Views
Usiku mwema unakuwa hivi: Au hivi Kama ni vibaka kwanini vyumba vya ndani mpaka kwenye magorofa vinatumia matofali. Mwisho wa siku “expansion joints” zinabuma? Vyumba vya namna hii vina...
10 Reactions
81 Replies
17K Views
Habari wadau, Leo nimetoka zangu job, nikasema nipitie kwa jamaa nlimwachia kazi anibanie CD ya nyimbo za Manton..Nimefika pale jamaa bado ajamaliza, basi nikasema nikae nisubirie maana nyimbo...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba msaada wa namna ya kuandika proposal. Format na hata mfano wake kwa mwenye nayo.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamvi, hivi wafanyabiashara wana muda maalum wa kutoa risiti za efd? Wenye biashara na wazoefu, pia hata mamlaka husika inaweza kutusaidia kwenye hili! Jambo lililonifanya nihoji hili ni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Pale ambapo Mwizi anaiba bila kujua anayemuibia ni mbobezi kwenye sayansi ya uchawi au ulozi Basi bwana huyu wa huko nchini Uganda aliiba Subwoofa ya Mzee mmoja kwenye duka lakini katika hali ya...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Ofisi ya mkoa ya Wakala wa Barabara (Tanroads) imeamua kusimamisha ubomnoaji wa nyumba 1,200 zilizopo eneo la kati ya Ubungo na Kimara kwa kipindi cha kuelekea sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Wana Jf,Nimekuwa nikifatiria kwa ukaribu masuala ya kisiasa yanayoendelea kwa sasa, na nimegundua jambo kubwa linalo sababisha kudumaa kwa ushindani kisiasa, vyama vya upinzani vinakilaumu CCM na...
0 Reactions
0 Replies
599 Views
Habarini za mchana. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba mwongozo wa kupata mita namba ya luku kwa ajili ya kujaza umeme. Mimi ni mgeni kwenye suala hili la umeme kwani nimezoea vibatari...
0 Reactions
6 Replies
19K Views
Picha walizoonyesha muda huu huwezi kusema picha zilizoko mitandaoni ni picha ambazo zimekuwa "zoomed" hata kidogo. Mlioangalia taarifa ya habari ya ITV muda huu mtakuwa mashahidi.
25 Reactions
254 Replies
27K Views
Back
Top Bottom