Jaman ninatembo crd yani visa card ya CRDB bank,ila sikuwahi kuitumia kwa manunuzi ya online ila nimejaribu kununua kitu online nikakutana nakitu kilichonikwamisha na ni access code na account...
Good morning!
Tupo kwenye foleni ndani ya basi tunasubiri muda rasmi wa kuondoka kwenda Dar. Saa 12:00 juu ya alama mabasi yanaruhusiwa kuondoka
Nimefurahishwa sana na Time Management ya...
Wakuu naomba kueleweshwa hapa.
Wakati nasikiliza habari leo asubuhi, alisikika Mh. Ummy Mwalimu waziri wa afya, alikuw akiongea na wananchi akisema Tanzania inapoteza bilioni 340 kila mwaka kwa...
Katika hali yakaida nyoka ni mnyama ambaye ni adui mkubwa wa binadamu. Lakini nashangaa kuona baadhi ya hospital tena zile zinazo milikiwa na taasisi za kidini katika nembo zao kuweka picha ya...
CWT hawana uwezo wa kutetea walimu kamwe
*Na commred Chichimizi*
CWT.....ni zao la muajiri mfumo wa trade unions Tanzania ulianzia serikalini ndo maana hata kudai uhuru ulishiriki hivyo cwt...
#HISTORIA DONDOO MUHIMU KUELEKEA SHEREHE ZA UHURU WA TANGANYIKA
SHEIKH SULEIMAN TAKADIR SHUJAA "ALIYETOSWA"
Sheikh Suleiman Takadir alikuwa mwanaharakati mzalendo na mwanazuoni wa Kiislamu...
Kijiografia inajulikana kuwa
The Sun as a star is the source of all light and heat on the earth....
Kwa maana ya kuwa jua ndiyo chanzo kikubwa cha mwanga wa duniani na joto vilevile,
Nimekuwa...
Usiku mwema unakuwa hivi:
Au hivi
Kama ni vibaka kwanini vyumba vya ndani mpaka kwenye magorofa vinatumia matofali. Mwisho wa siku “expansion joints” zinabuma?
Vyumba vya namna hii vina...
Habari wadau,
Leo nimetoka zangu job, nikasema nipitie kwa jamaa nlimwachia kazi anibanie CD ya nyimbo za Manton..Nimefika pale jamaa bado ajamaliza, basi nikasema nikae nisubirie maana nyimbo...
Wanajamvi, hivi wafanyabiashara wana muda maalum wa kutoa risiti za efd?
Wenye biashara na wazoefu, pia hata mamlaka husika inaweza kutusaidia kwenye hili!
Jambo lililonifanya nihoji hili ni...
Pale ambapo Mwizi anaiba bila kujua anayemuibia ni mbobezi kwenye sayansi ya uchawi au ulozi
Basi bwana huyu wa huko nchini Uganda aliiba Subwoofa ya Mzee mmoja kwenye duka lakini katika hali ya...
Ofisi ya mkoa ya Wakala wa Barabara (Tanroads) imeamua kusimamisha ubomnoaji wa nyumba 1,200 zilizopo eneo la kati ya Ubungo na Kimara kwa kipindi cha kuelekea sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya...
Wana Jf,Nimekuwa nikifatiria kwa ukaribu masuala ya kisiasa yanayoendelea kwa sasa, na nimegundua jambo kubwa linalo sababisha kudumaa kwa ushindani kisiasa, vyama vya upinzani vinakilaumu CCM na...
Habarini za mchana.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba mwongozo wa kupata mita namba ya luku kwa ajili ya kujaza umeme. Mimi ni mgeni kwenye suala hili la umeme kwani nimezoea vibatari...
Picha walizoonyesha muda huu huwezi kusema picha zilizoko mitandaoni ni picha ambazo zimekuwa "zoomed" hata kidogo.
Mlioangalia taarifa ya habari ya ITV muda huu mtakuwa mashahidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.