Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Hili kanisa nimeliona Duomo, Milan Taliano huko.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ITV LEO MMEONESHA MALALAMIKO YA WACHIMBAJI WADOGO MKOA WA GEITA NADHANI NI MBOGWE, NAULIZA KIJANA ALIEKUWA ANANYESHEWA MVUA ALIKUWA NI BUBU HUKU AKIMSUBILI MKUU WA MKOA?KAMA ALIKUWA ANAONGEA...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Helo, Mimi sio mtaalamu wala mjuzi wa mambo ya saikolojia, Ila nnaloandika ni kama hoja nijifunze. Ni kawaida katika hizi social nets kuona badhi ya member tunaweka picha ama zetu ama kitu...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wadau, Utafiti wa Chuo Kikuu London kwa kushirikisha kituo kimoja cha ushauri wa afya Ghana umegundua kuwa madaktari wengi wa nchi za kusini mwa Afrika wanekuwa wakizidisha dawa kwa wagonjwa...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Salaam wakuu Walokole wenzangu, Bwana asifiwe na hongeleni kwa ibada za kukanyaga mafuta, kupanda na kuvuna na ibada za kufunguliwa kutoka kwenye vifungo mbali mbali. Kuna kitu leo ntaomba...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Hahahaa baada ya kuangalia video hii nimecheka sana! ni wazi nyani wana utu kuliko binadamu!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba niwaulize wanajf ,wakati Dr.slaa anatangazwa kuteuliwa kuwa balozi ,taarifa ya ikulu ilisema ataapishwa mpaka taratibu zikamilike, Naomba kujua ni taratibu zipi
1 Reactions
15 Replies
2K Views
VODACOM walifika hapa mwaka 2000 wakiwa hawana mteja hata mmoja na kwa mtaji wao wakapanga kwenye jengo lenye status kuliko majengo yote hapa nchini likiitwa PPF Tower lililoko kwenye kona ya mtaa...
8 Reactions
65 Replies
11K Views
Wadau nimeona niwaletee hii tusafishe macho kidogo, Swali langu ni je! mzee wetu bakhresa huwa anatumia mashine kama hizi kututengenezea zile lamba lamba zetu?? Source: My youtube Chanel >>watafak
0 Reactions
5 Replies
3K Views
WNahitajika wataalamu wa hiashara na masoko hususani business develepment expertise na marketing promotion(mobile/road show/to[r)market promotion.kuna fulsa ya kufanya na ina enhancend...
0 Reactions
6 Replies
844 Views
Wanawake wanaendesha malori, mabasi, treni na ndege, ni makondakta wa daladala na shughuli nyingine ambazo awali zilidhaniwa kuwa zinawafaa wanaume pekee. Kazi pekee inayoonekana pengine kuwa...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Ameita wana habari ngoja tusikie atasema nini, usiende mbali nitawaletea kinachoendelea, ...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
CCM ni chama chenye dhamana kubwa katika historia ya Taifa letu. Iweje Mkakati wa kujenga chama,zitumike mbinu duni za kijima,zisizo na ubunifu zenye lengo ovu kubomoa umoja na ustawi wa taifa...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Ilikuwa ni ibada maalum ya maombi na maombezi usharika wa Magomeni mviringo. Mchungaji (sikupata jina lake lakini sio Kiporoza) alikemea kwa jina la Yesu wale wanaotamanani watu waishi kama...
8 Reactions
30 Replies
3K Views
Dua Zenu Jf Nimezingirwa Na Yange Yange Hapa Kosa Kopi Ya Leseni Origional Nimeisahau Home Totoo Nyeupe Ya Kipare Imenuna Tuna Nusu Robo Saa Dua Zenu Great Thinkers.Discovery Inanguruma Pembeni Ya...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Habari wana jamvi napenda kujua ni wapi naweza kupata list ya kesi zilizoamuliwa hasa kuanzia 2010 to current nimepata website moja SAFLII Home | SAFLII lakini zinaishia 2009. Nitashukuru wazoefu...
1 Reactions
2 Replies
956 Views
Kama wewe Ni mfugaji Wa kuku Wa kizungu na Una mayai na makazi,yako Ni Dar es salaam Mimi nanunua mayai Njoo hapa tufanye biashara
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kumnunua binadamu yoyote kwa sababu zozote zile haikubaliki na ni udhalilishaji wa kiwango cha juu sana . Kama UMOJA WA MATAIFA ulivyolivalia njuga suala hili nchini Libya , basi si vibaya...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
KATIKA WANASIASA WANAOHAMA VYAMA LIPO ENEO LA KUKUPA TABASAMU Julai 29, 2005, Rais wa Tatu wa Tanzania, Benjamin Mkapa, alihutubia kwa mara ya mwisho Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
1 Reactions
1 Replies
802 Views
Waafrika tusipokuwa makini wazungu badala ya kuja kutalii kwa kuangalia wanyama, wazungu watakuja kutalii kwa kutuangalia ss waafrika je ni wanyama au ni watu?maana waafrika wanafanya mambo ya...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom