ITV LEO MMEONESHA MALALAMIKO YA WACHIMBAJI WADOGO MKOA WA GEITA NADHANI NI MBOGWE, NAULIZA KIJANA ALIEKUWA ANANYESHEWA MVUA ALIKUWA NI BUBU HUKU AKIMSUBILI MKUU WA MKOA?KAMA ALIKUWA ANAONGEA...
Helo,
Mimi sio mtaalamu wala mjuzi wa mambo ya saikolojia,
Ila nnaloandika ni kama hoja nijifunze.
Ni kawaida katika hizi social nets kuona badhi ya member tunaweka picha ama zetu ama kitu...
Wadau,
Utafiti wa Chuo Kikuu London kwa kushirikisha kituo kimoja cha ushauri wa afya Ghana umegundua kuwa madaktari wengi wa nchi za kusini mwa Afrika wanekuwa wakizidisha dawa kwa wagonjwa...
Salaam wakuu
Walokole wenzangu, Bwana asifiwe na hongeleni kwa ibada za kukanyaga mafuta, kupanda na kuvuna na ibada za kufunguliwa kutoka kwenye vifungo mbali mbali.
Kuna kitu leo ntaomba...
VODACOM walifika hapa mwaka 2000 wakiwa hawana mteja hata mmoja na kwa mtaji wao wakapanga kwenye jengo lenye status kuliko majengo yote hapa nchini likiitwa PPF Tower lililoko kwenye kona ya mtaa...
Wadau nimeona niwaletee hii tusafishe macho kidogo,
Swali langu ni je! mzee wetu bakhresa huwa anatumia mashine kama hizi kututengenezea zile lamba lamba zetu??
Source: My youtube Chanel >>watafak
WNahitajika wataalamu wa hiashara na masoko hususani business develepment expertise na marketing promotion(mobile/road show/to[r)market promotion.kuna fulsa ya kufanya na ina enhancend...
Wanawake wanaendesha malori, mabasi, treni na ndege, ni makondakta wa daladala na shughuli nyingine ambazo awali zilidhaniwa kuwa zinawafaa wanaume pekee.
Kazi pekee inayoonekana pengine kuwa...
CCM ni chama chenye dhamana kubwa katika historia ya Taifa letu.
Iweje Mkakati wa kujenga chama,zitumike mbinu duni za kijima,zisizo na ubunifu zenye lengo ovu kubomoa umoja na ustawi wa taifa...
Ilikuwa ni ibada maalum ya maombi na maombezi usharika wa Magomeni mviringo. Mchungaji (sikupata jina lake lakini sio Kiporoza) alikemea kwa jina la Yesu wale wanaotamanani watu waishi kama...
Dua Zenu Jf Nimezingirwa Na Yange Yange Hapa Kosa Kopi Ya Leseni Origional Nimeisahau Home Totoo Nyeupe Ya Kipare Imenuna Tuna Nusu Robo Saa Dua Zenu Great Thinkers.Discovery Inanguruma Pembeni Ya...
Habari wana jamvi napenda kujua ni wapi naweza kupata list ya kesi zilizoamuliwa hasa kuanzia 2010 to current nimepata website moja SAFLII Home | SAFLII lakini zinaishia 2009. Nitashukuru wazoefu...
Kumnunua binadamu yoyote kwa sababu zozote zile haikubaliki na ni udhalilishaji wa kiwango cha juu sana .
Kama UMOJA WA MATAIFA ulivyolivalia njuga suala hili nchini Libya , basi si vibaya...
KATIKA WANASIASA WANAOHAMA VYAMA LIPO ENEO LA KUKUPA TABASAMU
Julai 29, 2005, Rais wa Tatu wa Tanzania, Benjamin Mkapa, alihutubia kwa mara ya mwisho Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Waafrika tusipokuwa makini wazungu badala ya kuja kutalii kwa kuangalia wanyama, wazungu watakuja kutalii kwa kutuangalia ss waafrika je ni wanyama au ni watu?maana waafrika wanafanya mambo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.