MWAKA 1989 MPAKA MEI 1995, NILIKUWA MCHUNGAJI WA NG'OME HUKU NASOMA SUNGE SHULE YA MSINGI WILAYANI KAHAMA.
Katika kipindi hiki Mimi Deogratius Kisandu Wazazi wangu walinitoa mjini kahama(mtaa...
Kwa muda sasa kamanda mkusanya kodi PAMELA wa kitengo cha EFD amekuwa akihimiza utumiaji wa EFD kwa namna inayozidi mamlaka aliyopewa na sheria; anatukana wafanyabiashara na kuwababikizia ankara...
Wenye nyumba/vyumba/viwanja/frames za kukodisha, msiogope maswala ya wapangaji wenu kulipa kodi kila mwezi, hasa kama dola imetamka hivyo, na wanadai watakuja na mfumo utakaowalinda wapangaji na...
Afrika ni bara la pili kwa ukubwa duniani baada ya bara la Asia, na ina zaidi ya nchi 50.
Kati ya nchi hizo, zipo zilizowahi kushuhudia mapinduzi ya kijeshi na zipo ambazo hazikuwahi kushuhudia...
Naamini huu ni wakati muafaka wa kusoma huu uzi...!kama uko chumbani kwako angalia position ya kitanda chako na jiulize kama una amani...!!!
Wengi wetu hupenda kubadili position ya kitanda...
Ndugu zangu jana nilipata wageni saba (viongozi wa serikali za mitaa) wakitaka mazungumzo ya faraga na mimi. Naomba nisitaje maeneo wanayotoka kwa sababu maalumu lakini baada ya kuwasikiliza kwa...
Kwa kuwatahadharisha tu wale weekenders wezangu, epukeni kuweka mafuta pale hasa nyakati za usiku.
Kuna kaka mmoja yeye ndio bingwa wa kuchezea pump, baada ya kumshtukia alidai pump sio nzima ni...
Maisha ni kama mchezo wa riadha yaani pale unapoona wenzako wanakata tamaa ndio fursa yako yakushinda ukiongeza juhudi,ooh maisha magumu!kwahiyo tujifungie ndani tusubiri kufa au tupambane na hali...
Hellow wana bodi,
Mimi ni mpangaji wa nyumba, tupo familia tofauti tofauti 5. Katika nyumba hii tunayoishi mimi na wapangaji wenzangu hatukai na mwenye nyumba yeye anakaa mbali kabisa na sisi...
Njooni tuyajenge na kutoa shuhuda mbalimbali zitazowasaidia watu wasikurupuke ovyo kwenda nchi za watu wakijua watatoboa kiurahisi!mm nipo hapa bondeni kwa ex babu for ten years sijui Bongo ina...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Mussa Asaad kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania...
hakuna kidumucho milele isipokuwa milele yenyewe
Kaburi linachukuliwa kama nyumba ya milele kwa wafu lakini uhai wa mwili mfu kaburini si zaidi ya miaka 20, labda ile kumetumika njia maalum za...
Jamani mimi na umwakalinga wangu najiuliza tu - hivi hizo expansion joints tulizoelezwa na wazee wa TBA kwa kawaida zinapaswa kuwaje, zig-zag vile kama tulivoona hizi za Dr Magufuli Hostels au...
Habari wapendwa. wakuu napenda kupata experience na ushauri toka kwenu. Nizaidi ya miezi nane nikiwa kwenye mahusiano na mdada mmoja. amekuwa akija kwangu mara kwa mara na sometimestunalala wote...
Kuna kipindi tuliambiwa ifikapo July tutakuwa tumekimbia mji kwenda kijijini kwa hiari.
Lakini sasa naona wameamua kutoa bonus kwa kutunga sheria ya kulipa kodi kwa mwezi mmoja.
Labda ni katika...
Wana jamiiforum kwa wale wajuzi wa mambo ya movies Naomba kujuzwa kwa wenyeuutaalamu kitambaa cha kijani katika utengenezaji wa movies huwa kina maana gani hasa je? Kisipo wekwa nn kitatokea ktk...
Inaashiria baadhi ya wasomaji wa haya magazeti ni wateja wazuri wa hawa wataalamu wa tiba asilia.
Matangazo yanayoshika chati ni pamoja na;
1) Kuongeza nguvu za kiume
2) Kuleta mvuto wa mapenzi...
Jamani kuna vijana wa sheli ya GBP branch ya mbezi aisee wanapiga sana wateja Mfano ni mimi mwenyewe nimepigwa saa kumi na mbili hii, wadau mnaohusika chukueni hatua vinginevyo ipo siku mtasikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.