radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,193
Wakuu hawa watu ni janga mno unaweza kutuma pesa kwa bahati mbaya ukawa umeikosea na ukawahi kuwapigia simu kisha wanakujibu tumeuzuia sasa usubir masaa 24 unaweza kusubir hayo masaa 24 na bado pesa isirudi hawa watu ni kichefuchefu.
Pia kuna suala najiuliza kwa mfano ulikuwa na shida ya muhimu kweli ambayo utatuzi wake hauhitaji yazidi masaa 24 je hapo sio kupotezeana muda kweli? Kwa nini hawajifunzi pesa ya mtu kuirudisha muda muafaka kuliko kumsubulisha mtu masaa 24 na jambo lako la muhimu likakwama?
Hii system ya hovyo sana ni muda muafaka kuiangalia upya ni upotezaji wa muda tu hamna namna na wizi.
Pia kuna suala najiuliza kwa mfano ulikuwa na shida ya muhimu kweli ambayo utatuzi wake hauhitaji yazidi masaa 24 je hapo sio kupotezeana muda kweli? Kwa nini hawajifunzi pesa ya mtu kuirudisha muda muafaka kuliko kumsubulisha mtu masaa 24 na jambo lako la muhimu likakwama?
Hii system ya hovyo sana ni muda muafaka kuiangalia upya ni upotezaji wa muda tu hamna namna na wizi.