Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kituo kipya cha magari yanayosafiri kwenda mikoani Bukoba mjini (kagera) katika ujenzi na mkandarasi akiahidi kua hadi mwezi wa pili watakua washamaliza ujenzi na (stand) hiyo itaanza kufanya...
1 Reactions
15 Replies
50K Views
Wakuu Maisha ni mapambano ila kwangu mbona kila nachofanya kinaenda kombo yaani miloss tu, mpaka sasa nakata tamaa ya kufanya haya mabiashara, Hivi na nyinyi mliotoboa kwenye biashara...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta nani na wapi hapa mjimwema kigamboni wanapofyatulia nguzo Kwa ajili ya fensi simu Kwa mawasiliano 0752334403 .
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF, nina ndugu anahitaji kusafiri kwa moja ya mashirika ya ndege kutoka Dsm kwenda Mwanza hivi karibuni, swali ni kwamba; Shirika gani la ndege lina bei zenye unafuu ikiwa mtu anasafiri...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Naomba msaada shut off button haifanyi kazi labda utumie right click, au control-alt-delete then utumie button ya upande wa kulia ndio utaweza kuizima. Nipo kariakoo wapi ntampata...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Habari wakuu, kwanza nitoe pole kwa raia, viongozi na vyombo vya ulinzi kwa yanayoendelea kibiti. Hata kama kwa kosa gani bado halifanani na uhai wa mtu. Polisi wanauawa, viongozi wa kiserikali...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Sina Alama ya siasa ila matendo yangu na fikra zangu zina itikadi ya kisiasa. Naichukia Siasa mnayoiita Democracy kwa lugha ya kizungu, siasa mnayosema inaleta Amani kumbe ndio chanzo kikubwa cha...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge. Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam...
6 Reactions
161 Replies
22K Views
Leo nimedhihirisha wazi kuwa ni hatari sana njaa kuitoa tumboni na kuihamishia kichwani; inaharibu akili yote. Kisa hiki cha njaa kwa sasa kinasadifu vyema maisha ya mwanasiasa kijana machachari...
7 Reactions
22 Replies
3K Views
Nilazima tufahamu hili ushindi haupatikani kiwepesi. Kwahiyo basi kila mtu tupambane katikk maisha ili tushinde (UMASIKINI) je, wewe utapambana
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nina ndugu yangu alisafiri kwenda kijijini kakaa miezi 3 katika miezi 3 aliyokaa hakuwa na mawasiliano na alienda kumuuguza mama yake mzazi lakini wakati anaondoka mwezi huo alioondoka alitakiwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naona wana lumumba mnatamani Sana ifikapo 2020 pasiwepo na mbunge wa upinzani yeyote Yule, basi fanyanyeni jitihada hizo mfanikishe bunge libaki la ndiyo Mzee then 2025 watanzania wanasubili...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kikao baina ya IGP wa Rwanda National Police na Wetu Tanzania Police Force Kilijadili mambo kadhaa zikiwemo Joint operation za Mipakani huku na mambo wa kadhaa ambayo naona Yako sawia na...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani mbona wadada wa Bongo movie umri wao kila siku ni under 30 yrs always, mimi mpaka sasa nimefika 39 lakini kila siku nasikia wapo under 30. kuna siri gani na sisi tutumie miaka yetu isipande.
0 Reactions
4 Replies
997 Views
Jinsi nchi inavyoendelea na changamoto zinaongezeka. Moja kati ya changamoto hizo ni makazi. Nchi yetu Tanzania ni moja kati ya nchi iliyobarikiwa ardhi kubwa ya kutosha pamoja na sera nzuri ya...
1 Reactions
33 Replies
8K Views
Leo mwanachama mwenzetu wa Chadema amefanya uamuzi mgumu. Ni mgumu kwa tunaojua hali ilivyo ndani ya chama maana mle kuhoji masuala flani flani huwa ni issue. Sasa mwenzetu kathubutu kamwandikia...
0 Reactions
1 Replies
689 Views
Huwa nasikia na kuona baadhi ya maeneo mbali mbali wananchi wanabomolewa nyumba zao na maduka yao na kuharibu vitu vya wananchi 1: Nani anaehusika na kulinda mali za raia?? 2: Kama wanaobomolewa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau, Jana ilikuwa ni siku ya huzuni na majonzi makubwa wakati wa ibada ya mazishi ya marehemu ya Humphrey Makundi aliyekuwa mwanafunzi wa Shule ya Scholatica Moshi na ambaye alifariki katika...
2 Reactions
56 Replies
11K Views
Mbaya zaidi ukishinda kiti kimojawapo kati ya hivyo walahi akili inakutoka.. Ukiwa na utimamu unajiliza maswali kama haya 1. Ukiwa mbunge/diwani unawatumikia wananchi wako kupitia tiketi ya...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike Dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la Kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi...
12 Reactions
442 Replies
50K Views
Back
Top Bottom