Hbr wapendwa.
Najiuliza,
Tunaambiwa kanuni ya mwandishi wa habari n kuweka mizania ktk habari husika kwa pande zote.
Mbona sijaona mwandishi yeyote atuhabarishe kuhusu waathirika walivyolipokea hili tukio la msamaha!!!!
Lkn lingine,yupo Mzee Matonya lkn mpaka leo hatuna hata taarifa zake je hii ni sawa?.
Najiuliza,
Tunaambiwa kanuni ya mwandishi wa habari n kuweka mizania ktk habari husika kwa pande zote.
Mbona sijaona mwandishi yeyote atuhabarishe kuhusu waathirika walivyolipokea hili tukio la msamaha!!!!
Lkn lingine,yupo Mzee Matonya lkn mpaka leo hatuna hata taarifa zake je hii ni sawa?.