Habari zenu wanajamvi.
Mimi in mkereketwa wa kusoma vitabu, lakini ninapata shida kuvipata online, ninatamani wapenda vitabu wenzangu tushirikishane links za vitabu.
Kwa sasahivi ninatafuta...
Mjumbe wa Serikali ya mtaa wa CHUNO Halimashauli ya Manisipaa ya Mtwara Mikindani kupitia chama cha CHADEMA ajulikanae kwa jina la Juma Gud amefariki dunia mara baada ya kupelekwa ktk Hospital ya...
Halima Mdee
10 mins ·
NAOMBA KABLA YA KUCHUKUA MKOPO TUSOME MAELEZO NA VIGEZO VYA MKOPO VIZURIMaelezo na vigezo vya mkopo vinasema,Mikopo inatolewa kulingana na akiba ya Mwanachama atakayo weka...
Wele tunaotumia huduma ya Barclays Bank, tafadhali kumbuka kuhakiki deposit slip yako kabla hujaondoka, haraka niliyokuwa nayo Leo najuta hasa kutokana na mfumo wao ulivyo.
Wanabodi, Hakuna kitu kinachofanywa ndani ya nchi hasa training za pesa bila ya mtoa training kuwa na Certification yoyote. Ikumbukwe kuwa mambo ya pesa yakiyumba hasa thamani ya shilingi huathiri...
Juzi siku ya mwisho wa mwezi November, Serikali iliongeza increment kwa mara ya pili ndani ya mwezi mmoja ulioisha wa November.
Watumishi wengi hawajajua kama kuna salio la pili limeongezeka...
1. Mwishoni mwa mwaka jana serikali kupitia TCRA ilitangaza kupungua kwa gharama za mawasiliano toka tarehe 1 mwk huu. Binafsi nilitegemea mabadiliko kwenye bei za vifurushi but sijaona hvyo...
Wanajamvi, ni takribani miaka 30 sasa tangu mzee wangu atangulie mbele za haki. Kwa kipindi chote hicho haki zake (mirathi) ambazo kimsingi huamia kwa watoto na mjane wa marehemu hazikuchukuliwa...
Mama mmoja aliyetembulika kwa jina la Martha Alphonce Haule mkazi wa Kata ya Nafulala, Sumbawanga mkoani Rukwa amejifungua watoto mapacha watatu na kuwapatia majina ya Halima Mdee (wa kike) pamoja...
Habari zenu wana JF
Wakuu kama kichwa kinavyo jieleza ninauitaji wa laini ya Voda yenye Huduma ya University Offer lakini mimi siyo mwana chuo pia kama itawezekana Ninayo laini ya Voda...
Wadau,
Kesho nasafari ndefu kidigo ya kuvuka mipaka na ntatumia private yangu. Je, nitahitajika kusafiri na documents zipi ili kuvuka na gari out of my passport?
Bahati mbaya card original ya...
Wadau sisikii habari zozote za uchaguzi huu. Mbona hauna msisimko tuliouzoea kwenye chaguzi ndogo kama hizi?.
Ni kimya kabisa. Watu wako bize na mambo mengine .
Ndg zangu wanajamvi nimekuwa nikiota mara nyingi nakimbizwa na kundi la nyuki baada ya hapo nashtuka na kuamka. Ndoto hii ina maana gani. Asanteni sana
Jana tulikuwa nao katika viwanja vya meisala ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za sherehe za mapinduzi. Wasanii wengine kutoka bara walioshiriki ni pamoja na Dogo janja na Sheta. Mapinduzi daima!
Hii ni picha ya Wolves kuna kitu cha kujifunza hapa
1. Kundi la kwanza la Wolves ni wale ambao ni wazee na wagonjwa hawa hutangulizwa mbele katika jamii ya wolves kama ikitokea chochote waweze...
Kwanini taasisi nyingi za serikali hazitumii efd kama wafanya biashara wanapotoa risiti?
Mfano; unaweza kwenda idara ya maji, mtu ukalipia kila kitu lakini mwisho unapewa risiti ya kuandika...
Wakuu kwema?Nadhani Leo 17 November,Payroll zimeshawafikia wakuu wa idara huko kwenye Halmashauri mbalimbali nchi nzma.
Itapendeza zaidi Maafisa Utumishi au Wakuu wa idara mkitujuza kuhusu Orodha...
Habari JF,
Kufuatia kauli Tata ya raisi wa marekani juu ya kupokea wahamiaji toka kwenye nchi alizo ziita "shithole" countries kumekuwa na midahalo na maoni tofauti .
Miongoni mwa uchambuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.