Natumaini wanajamvi wenzangu wote ni wazima wa afya.Bila ya kupoteza muda turejee katika mada yetu iliopo hapo juu.
Leo nlikutana na rafiki yangu nliepotezana nae kwa miaka mingi kutokana na...
Gari pekee la maji ya kuzimia majanga ya Moto yanapotokea linalohudumia mkoa wa Manyara wenye wilaya tano.
Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Manyara katika mwaka 2017 limefanikiwa kukusanya...
hallo wana jf,
naomba kuuuliza sababu hasa inayopelekea mtu pindi aondokapo nyumbani kwa wazazi au walezi wake kutorudi nyuma tena, hii kitu nimeona mara nyingi kwa watu tofauti, awe na maisha...
Habari waungwana,
Jamiiforums ina kila aina ya wachangia mada, wapo wanaopinga mada husika pia wapo wanaunga mkono mada maana imewafurahisha au kuwaelimisha. Kitu cha pekee ni uchangiaji wa mada...
Morogoro. Mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro zimesababisha vifo vya watu wawili katika wilaya ya Kilosa huku ikiacha zaidi ya kaya 1734 zikikosa makazi baada ya nyumba kubomoka.
Pia...
SERIKALI imetoa masharti ili kuruhusu kuchukuliwa kwa sukari ya viwandani iliyokwama katika Bandari ya Dar es Salaam ili kuviwezesha viwanda vitano vilivyoagiza visifungwe kwa kukosa malighafi ...
Habari wadau?
Nahitaji msaada mkubwa sana juu ya suala hili la laini za uwakala.
Nilijaribu kuuliza maswali kama mawili miezi ya nyuma kuhusiana na ujasiliamali but i gatta nothing.
1. Okay...
Picha ya Marehemu enzi za uhai wake
Simanzi na majonzi vimetawala kwa Watanzania waishio nchi China baada ya kuondokewa na Mtanzania mwenzao ndugu HAMIS RUHABAYE.
Hamis ambae alikuwa...
*UKWELI KUHUSU TANZANIA*
1.Tz ilipata uhuru mwaka 1961 ina miaka 54 tangu ipate uhuru ikiwa ni ya kwanza Afrika Mashariki.
2.Tz Kwa miaka 38 imeongozwa na CCM peke yake ambayo ni zao la TANU na...
Wakuu msiniulize takwimu, ila ki ukweli na wengi wenu mliojaaliwa kusafiri safiri kama mimi mtakubaliana na mimi kwamba, Wakenya wanajivunia sana Kiswahili sana kuliko sisi waTZ tena hawaoni soni...
SENGEREMA: Tani sita za shehena ya samaki wachanga na wazazi aina ya sangara yenye thamani ya Sh24 milioni imekamatwa juzi katika Kijiji cha Kawekamo, Kata ya Nyampande wilayani hapa mkoani...
Kwakweli hili suala linatia ukakasi mkubwa sana, hii ni aibu kubwa kwa taifa, sasa lazima tuamini kwamba serikali yetu haina nia njema kabisa na kulibadili taifa hili, huu sio uungwana hata...
Kutokana na hali inayo endelea hapa Dar es Salaam ya watu kukamatwa kutokana na mavazi walio vaa napendekeza yafuatayo.
>Serikali itoe mwongozo wa mavazi yanayopaswa kuvaliwa na raia ili kuepuka...
Habari za leo wakuu.
Nauliza GT mnisaidie kujibu swali hili.
Kwanini mtu anapokufa (fariki) watu hukusanyika kwa ajili ya maandalizi ya kuuzika mwili, lakini kuna wakati inatokea mtu tuliyeaamini...
Hivi karibuni nimesafiri na kwenda nje ya nyumbani kwangu kwa mda mfupi, baada ya kufika hapa mwenyeji akawa busy na mimi ni mgeni kabisa.
Nikaona isiwe shida ngoja niende inbox nitafute wenyeji...
Najaribu kutafakari tu hivi watu 100 na zaidi wa humu JF haiwezekani kufanya Jambo la pamoja ambalo Linaweza kutuinua na kufikia LEVEL ya Bakhresa, Rostam au MO.
Humu tuna wataalamu wa Kilimo...
Plastic bags are containers made up high density polyethylene. Most of us we are familiar with these bags because we use them to carry goods purchased in the shops.
In Tanzania plastic bags are...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.