Poleni na Majukumu wanajf!
Naitwa CHACHA nipo morogoro ni dereva wa Gari mchanga,
Sisi Madereva wa mchanga ktk manispaa ya Morogoro tuna kero jinsi ukusanyaji wa kodi za Manispaa, Watu wa...
Niifanyeje simu yangu kwani kila nikiingia internate kuna mijitangazo inajitokeza kila baada ya dakika fulani nisioijua! Inani boa sana. Je kwenu munaipata hii hali au mimitu? Na je nifanyeje...
Mimi naamini kabisa kampuni za betting zote duniani ni za mtu mmoja au system inayoongozwa na genge maalumu wanaoelewana. Na bet zote zinazofanyika zinaonekana kwenye system zao.
Nasema hivyo kwa...
Sijawahi kusikia watu wenzetu wakishikana uchawi wapigaramli wala waganga wa kienyeji wakienda kushika wachawi nyumba kwa nyumba kama huku kwetu Mbozi.
Je, Sheria ni kali au kwao hakuna miti ya...
Nimekuwa kimya kwa muda na kwa makusudi ili kujifunza mambo nje ya mitandao ya kijamii lakini nilichojifunza kina ukakasi mwingi mno.
Tulikuwa tukipiga kelele wote kutaka mabadiliko bila...
Mbwa amenikumbusha kitu kikubwa sana katika tukio hili..
Gari ndogo nililokuwamo nikienda kwenye pilika za maisha ilikuwa speed kama80/90 hivi....
Ghalfa tukamwona Mbwa akijitahidi kushindana na...
Wanajamvi miaka mingi nimekuwa nikijiuliza ili swali;
Inatokea viongozi wa waasi wanajulikana kama wakina Wamba Dia Wamba, Kagame, Charles Taylor, Foday Sankoh, "Papoy" Sam Bockirie, "mosquito"...
Taadhali kwa anayenunua vitu kwa huyu dada Monica Michael anapatikana hasa kwanye facebook kwa jina la Monica Michael, instagram na whatsapp, huyu dada ni tapeli na mwizi, husijaribu kufanya nae...
Kuna tafiti kuwa WANAUME wa Tanzania kumbe wanashika namba moja kwa uaminifu Afrika,Je wajua kuna tafiti kuwa wasokunywa pombe hufa mapema kuliko wanaokunywa na Unajua pia kuwa kama kuna...
Habar wana JF
Toka mwaka mpya uingie sijawahi kuanzisha uzi wowote Jf lakini leo hii nimekuja na huu uzi ili kuwakumbusha wapamabanaji wenzangu juu ya utafutaji wa pesa.
Katika utafutaji wa...
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa amesema ujenzi wa barabara ya Mbinga -Mbambabay kiwango cha lami utafanyika kwa kipindi cha miezi 33 na kugharimu zaidi ya Sh129bilioni.
Amesema barabara...
hello wana JF,
Tumempoteza kijana ambae bado taifa lilikua linamtegemea,
naomba tutumie nafasi hii,kutoa dukuduku zenu,be ndoa,kazi,nk
Hapa tuna watu tofauti,na nadhani ma psychologists pia...
*We are not obliged, even for a second, to try to prove to anybody and especially to blacks and Arabs that we are superior people - we have demonstrated that to the black and Arabs in 1001 ways.*...
Wauzaji nyama nchini Uganda pamoja na wateja wao sasa wanategemea nzi kama kielelezo cha kuangalia ubora wa nyama inayouzwa kwenye maduka husika.
Hii inafuatia operesheni inayoendeshwa na...
Wapendwa WanaJF
Katika kitabu cha ufunuo 5:1-14 imeweka bayana kuhusu Mungu na kufunua uongo wa ile nadharia inayodai kuwa Baba ndiye Huyo huyo Mwana na kwamba ndiye huyohuyo Roho. Kitabu cha...
Napenda kujua iwapo mtu kama ataacha kazi leo na alikuwa amejiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii LAPF,je atalipwa pesa yake ya fao la kujitoa?
Tumeshauriana na mke wangu aache kazi ili tuimarishe...
Jamani, huyi mtumishi anaaminika na watu wengi sana hapa nchini. Kusema kweli anao wafuasi wengi sana wa madhehebu na dini mbalimbali.
Ila leo nimemsikia na kuniacha hoi alipodai alikwenda...
Jana nilijaribu kufanya biashara na mtu kupitia kupatana akaniletea mzigo samsung j7 prime full boxed, sasa bei ilikuwa 300k nikawa na shaka, na kweli simu mpya!
Nikamwambia mshikaji naomba...
Nakumbuka miaka ya mid 80's haya mabasi yalitamba na kutawala sana line ya Rombo Marangu Moshi Arusha na hata Dar. Mwenye kumbukumbu atukumbushe hawa wataalam waliishia wapi. Sababu kwa miaka ya...
Katika nchi mbali mbali Duniani, na Tanzania ikiwemo, pamekuwa panatokea misuguano ya hapa na pale; Vyombo husika vya serikali vikitaka kuonyeshwa MAPATO na MATUMIZI ya pesa zinazokusanywa (a.k.a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.