Chadema saidieni hili jambo kama linaukweli.

Chadema saidieni hili jambo kama linaukweli.

Benjamini Netanyahu

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
102,675
Reaction score
126,911
Halima Mdee
10 mins ·
NAOMBA KABLA YA KUCHUKUA MKOPO TUSOME MAELEZO NA VIGEZO VYA MKOPO VIZURIMaelezo na vigezo vya mkopo vinasema,Mikopo inatolewa kulingana na akiba ya Mwanachama atakayo weka, akiba yamwanachama atakayoweka itazidishwa mara kumi na kupata kiwango cha mkopo atakacho kopeshwa. Viwango vya kuweka akiba vinaanzia Tshs. 200,000 (LAKI MBILI) Tunaanza kukopesha kuanzia Million mbili mwisho wa kukopesha Million kumi(i)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI MBILI (200,000x10=2,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 200,000 (LAKI MBILI) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 2,000,000 (MILLION MBILI) namarejesho yake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Ishirini.(ii)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI TATU (300,000x10=3,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 300,000 (LAKI TATU) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 3,000,000 (MILLION TATU) na marejesho yake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Thelathini.(iii)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI NNE (400,000x10=4,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 400,000 (LAKI NNE) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 4,000,000 (MILLION NNE) na marejesho yake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Arobaini.(iv)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI TANO (500,000x10=5,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 500,000 (LAKI TANO) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 5,000,000 (MILLION TANO) na tutakupatia zawadi ya chombo cha moto BODA BODA moja mpya na marejeshoyake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Hamsini.(v)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI SITA (600,000x10=6,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 600,000 (LAKI SITA) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 6,000,000 (MILLION SITA) na tutakupatia zawadi ya chombo cha moto BODA BODA moja mpya na marejeshoyake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi sitini.(vi)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI SABA (700,000x10=7,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 700,000 (LAKI SABA) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 7,000,000 (MILLION SABA) na tutakupatia zawadi ya chombo cha moto BODA BODA moja mpya na marejeshoyake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Sabini.(vii)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI NANE (800,000x10=8,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 800,000 (LAKI NANE) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 8,000,000 (MILLION NANE) natutakupatia zawadi ya chombo cha moto BAJAJI moja mpya na marejesho yakeutarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Themanini.(viii)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI TISA (900,000x10=9,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 900,000 (LAKI TISA) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 9,000,000 (MILLION TISA) na tutakupatia zawadi ya chombo cha moto BAJAJI moja mpya na marejesho yakeutarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Tisini.(ix)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI MILLION MOJA (1,00000,000x10=10,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 1,000,000 (MILLION MOJA) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 10,000,000 (MILLION KUMI) na tutakupatia zawadi ya chombo cha moto BAJAJI moja mpya pamojaBODA BODA moja na marejesho yake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi mia mojaKiwango kikubwa cha Mwisho cha kukopa ni kuanzia Tshs. 10,000,000 (MILLION KUMI) akiba yake Tshs. 1,000,000 (MILLION MOJA)TUNATOA ZAWADI ZA BAJAJI NA BODA BODA KWA WATAKAO CHUKUA MKOPO KUANZIA MILLION TANO MPAKA MILLION ISHIRINI.Kwa yoyote atakae jaza fomu na akaweka akiba kuanzia LAKI TANO, LAKI SITA, LAKI SABA, LAKI NANE, LAKI TISA, MILLION MOJA na kuendelea atapatiwa zawadi ya boda boda au bajaji kulingana na mkopo aliochukua.ili uweze kupata mkopo tafadhali wasiliana na watoa huduma kupitia namba hizi 0675884753 au 0768120622.

Hii taarifa nimeikuta FB, toeni taarifa kamili wananchi wasije kutapeliwa bure.
 
Halima Mdee
10 mins ·
NAOMBA KABLA YA KUCHUKUA MKOPO TUSOME MAELEZO NA VIGEZO VYA MKOPO VIZURIMaelezo na vigezo vya mkopo vinasema,Mikopo inatolewa kulingana na akiba ya Mwanachama atakayo weka, akiba yamwanachama atakayoweka itazidishwa mara kumi na kupata kiwango cha mkopo atakacho kopeshwa. Viwango vya kuweka akiba vinaanzia Tshs. 200,000 (LAKI MBILI) Tunaanza kukopesha kuanzia Million mbili mwisho wa kukopesha Million kumi(i)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI MBILI (200,000x10=2,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 200,000 (LAKI MBILI) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 2,000,000 (MILLION MBILI) namarejesho yake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Ishirini.(ii)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI TATU (300,000x10=3,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 300,000 (LAKI TATU) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 3,000,000 (MILLION TATU) na marejesho yake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Thelathini.(iii)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI NNE (400,000x10=4,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 400,000 (LAKI NNE) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 4,000,000 (MILLION NNE) na marejesho yake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Arobaini.(iv)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI TANO (500,000x10=5,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 500,000 (LAKI TANO) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 5,000,000 (MILLION TANO) na tutakupatia zawadi ya chombo cha moto BODA BODA moja mpya na marejeshoyake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Hamsini.(v)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI SITA (600,000x10=6,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 600,000 (LAKI SITA) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 6,000,000 (MILLION SITA) na tutakupatia zawadi ya chombo cha moto BODA BODA moja mpya na marejeshoyake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi sitini.(vi)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI SABA (700,000x10=7,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 700,000 (LAKI SABA) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 7,000,000 (MILLION SABA) na tutakupatia zawadi ya chombo cha moto BODA BODA moja mpya na marejeshoyake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Sabini.(vii)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI NANE (800,000x10=8,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 800,000 (LAKI NANE) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 8,000,000 (MILLION NANE) natutakupatia zawadi ya chombo cha moto BAJAJI moja mpya na marejesho yakeutarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Themanini.(viii)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI LAKI TISA (900,000x10=9,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 900,000 (LAKI TISA) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 9,000,000 (MILLION TISA) na tutakupatia zawadi ya chombo cha moto BAJAJI moja mpya na marejesho yakeutarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi Tisini.(ix)UKIWEKA AKIBA YA SHILINGI MILLION MOJA (1,00000,000x10=10,000,000)Ukijaza fomu na ukaweka akiba ya Tshs. 1,000,000 (MILLION MOJA) akiba yako tutaizidisha mara kumi na utakopeshwa Tshs. 10,000,000 (MILLION KUMI) na tutakupatia zawadi ya chombo cha moto BAJAJI moja mpya pamojaBODA BODA moja na marejesho yake utarejesha kila mwezi Tshs. 110,000 (LAKI MOJA NA ELFU KUMI) kwa muda wa miezi mia mojaKiwango kikubwa cha Mwisho cha kukopa ni kuanzia Tshs. 10,000,000 (MILLION KUMI) akiba yake Tshs. 1,000,000 (MILLION MOJA)TUNATOA ZAWADI ZA BAJAJI NA BODA BODA KWA WATAKAO CHUKUA MKOPO KUANZIA MILLION TANO MPAKA MILLION ISHIRINI.Kwa yoyote atakae jaza fomu na akaweka akiba kuanzia LAKI TANO, LAKI SITA, LAKI SABA, LAKI NANE, LAKI TISA, MILLION MOJA na kuendelea atapatiwa zawadi ya boda boda au bajaji kulingana na mkopo aliochukua.ili uweze kupata mkopo tafadhali wasiliana na watoa huduma kupitia namba hizi 0675884753 au 0768120622.

Hii taarifa nimeikuta FB, toeni taarifa kamili wananchi wasije kutapeliwa bure.
Chadema Saccos katika ubora wenu!
 
CCM haiwezi kufanya jambo kubwa kama hili zaidi ya kuibia wananchi.
Ni kweli katika hayo mambo ya " UPATU" myie ndio mabingwa! Mtawaambiwa hela inabidi zikae miezi 6 ndio unapata mkopo....hahahaa matunda ya CPA hayo wengine wako migombani wanashinikiza majibu yatoke haraka!
 
Ni kweli katika hayo mambo ya " UPATU" myie ndio mabingwa! Mtawaambiwa hela inabidi zikae miezi 6 ndio unapata mkopo....hahahaa matunda ya CPA hayo wengine wako migombani wanashinikiza majibu yatoke haraka!
Ww zuzu umekalia kula kwa shemeji yako huna ubunifu wowote.
 
hebu mwenye uthibitisho wa kupata mkopo kwa njia hii atuthibitishie.. alipataje, muda gani alitumia hadi kupata mkopo, ukweli wa mkataba nk.. isije ikawa ya DECI maana nasubiria mgao wangu hadi leo na sijakata tamaa!
 
Mkopo Hauna Masherti YaDhamana Kama Mtu Atashindwa Kulipa Deni Hauna Vigezo Kwamba Unakopa Baada Ya Mda Gani Toka Umeanza Kuweka Akiba,
 
Mkopo Hauna Masherti YaDhamana Kama Mtu Atashindwa Kulipa Deni Hauna Vigezo Kwamba Unakopa Baada Ya Mda Gani Toka Umeanza Kuweka Akiba,
Hili jambo Chadema inabidi watusaidie au Halima mwenyewe atusaidie kama ni kweli.
 
Back
Top Bottom