America kuna wachawi?

America kuna wachawi?

luziiii

Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
43
Reaction score
49
Sijawahi kusikia watu wenzetu wakishikana uchawi wapigaramli wala waganga wa kienyeji wakienda kushika wachawi nyumba kwa nyumba kama huku kwetu Mbozi.

Je, Sheria ni kali au kwao hakuna miti ya kulogea?
 
Uchawi upo hia wanautumia kwenye technology...
 
Back
Top Bottom