Huyu dada Monica Michael ni Tapeli kuweni makini

Huyu dada Monica Michael ni Tapeli kuweni makini

Ta Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
3,550
Reaction score
2,199
Screenshot_2016-11-11-09-52-53.png
Screenshot_2016-11-11-09-52-42.png
Screenshot_2016-11-12-19-16-53.png
Screenshot_2016-11-20-20-10-44.png
Screenshot_2016-11-20-20-11-42.png
Screenshot_2016-11-20-20-12-23.png
Screenshot_2016-11-20-20-12-37.png
Screenshot_2016-11-11-09-52-42.png
Screenshot_2016-11-12-21-43-08.png
Screenshot_2016-11-12-19-16-45.png
Screenshot_2016-11-20-22-12-33.png
Taadhali kwa anayenunua vitu kwa huyu dada Monica Michael anapatikana hasa kwanye facebook kwa jina la Monica Michael, instagram na whatsapp, huyu dada ni tapeli na mwizi, husijaribu kufanya nae biashara ya aina yoyote ile, yeye anauza viatu, saa, jezi za timu mbali mbali za ulaya , anatumua namba zifuatazo 0768686446, kwa Tigo anatumia namba 0656494270 na kwa whatsapp anatumia namba +254 727371790.

Huu ujumbe usambaze kwa watu mbalimbali wawe makini na huyu dada, ujumbe na picha zake zisambazeni katika magroup mbalimbali na alipotiwe TCRA Tanzania

Naweka msg ya malipo aliyolipwa bila kutuma viatu alivyoagizwa mpaka sasa

"3KA8B77X32 Imethibitishwa. Tsh75,000.00 imetumwa kwa TIGO PESA kwenye akaunti namba 0656494270 tarehe 10/11/16 saa 2:36 PM. salio lako la M-Pesa ni Tsh"

Naambatanisha na picha zake pamoja na bidhaa anazouza kwenye mtandao huu,

Pia naweka mawasiliano aliyokuwa akiyafanya hapo chini akidai keshatuma mzigo wakati si kweli, Tcra Tanzania na Tanzania Tcra kwa kutumia hizo namba za huyu Monica michael atafutwe kabla hajatapeli watu wengi zaidi

Invisible naomba kama mtataka ushaidi nauweka kwa huyu tapeli pia huu ujumbe na namba zake mnisaidie kuzipeleka TCRA kwa atua zaidi kwa huyu mtu, nami nipo tayari kutoa msaada utakao itajika
 

Attachments

  • Screenshot_2016-11-20-20-12-11.png
    Screenshot_2016-11-20-20-12-11.png
    39.8 KB · Views: 240
Hebu ngoja nichukue namba za Monica za Whatsapp wakati wewe unalalamika umetapeliwa mimi nimeona fursa nyigine hapo kwenye picha yake aliyokaa

Ila pole mkuu ndio maisha
kwa uandishi wake hiyo University of Dar es Salaam atakuwa amesomea ya Mkuranga kama ipo sio Mlimani tunayoijua
 
Hakika Mungu katutofautisha sana. Sijui mnapataga wapi Ujasiri wa Kutuma fedha bila kupata Mzigo. Sijajua kwa kweli mtu unaanzaje.

Labda online kwa trusted sources.

Inatokea tu mkubwa hasa kama umeshazoea kununua vitu online
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom