bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,668
Jamani, huyi mtumishi anaaminika na watu wengi sana hapa nchini. Kusema kweli anao wafuasi wengi sana wa madhehebu na dini mbalimbali.
Ila leo nimemsikia na kuniacha hoi alipodai alikwenda mbinguni akaongea na Mungu na Yesu na Musa hapo kaniacha njia panda. Kiukweli ebu atufundishwe biblia na siyo kutumia udhaifu wetu wa kutokujua biblia kutuadaa, inakuhitaji uwe na uwezo mwingine wa ziada kutambua wapi anatoka nje ya maandiko.
Anatumia sana shida na matatizo ya watu kutuchanganya kiukweli sina shida na maandiko anayofundisha kutoka kwenye biblia shaka linakuja pale anapotoa tafisiri za mambo ya duniani na kuyaunganisha na biblia.
Nashangaa kuhubiria uchumi kwa wananchi pasipo kugusia mratibu mkuu wa uchumi (serikali/rais) ambao ndiyo wapanga mambo. Manabii wote wa Mungu walisimama kutetea kwa namna yeyote kupinga udhalimu na mpaka wakati mwingine kuhatarisha maisha yao. Vipi mwakasege, Rusekelo na walimu na wainjilisti wengine hawaoni tatizo kwa tawala za dunia hii hasa Africa.
Ila leo nimemsikia na kuniacha hoi alipodai alikwenda mbinguni akaongea na Mungu na Yesu na Musa hapo kaniacha njia panda. Kiukweli ebu atufundishwe biblia na siyo kutumia udhaifu wetu wa kutokujua biblia kutuadaa, inakuhitaji uwe na uwezo mwingine wa ziada kutambua wapi anatoka nje ya maandiko.
Anatumia sana shida na matatizo ya watu kutuchanganya kiukweli sina shida na maandiko anayofundisha kutoka kwenye biblia shaka linakuja pale anapotoa tafisiri za mambo ya duniani na kuyaunganisha na biblia.
Nashangaa kuhubiria uchumi kwa wananchi pasipo kugusia mratibu mkuu wa uchumi (serikali/rais) ambao ndiyo wapanga mambo. Manabii wote wa Mungu walisimama kutetea kwa namna yeyote kupinga udhalimu na mpaka wakati mwingine kuhatarisha maisha yao. Vipi mwakasege, Rusekelo na walimu na wainjilisti wengine hawaoni tatizo kwa tawala za dunia hii hasa Africa.