kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,481
Kuna tafiti kuwa WANAUME wa Tanzania kumbe wanashika namba moja kwa uaminifu Afrika,Je wajua kuna tafiti kuwa wasokunywa pombe hufa mapema kuliko wanaokunywa na Unajua pia kuwa kama kuna Padre/Mchingaji ambaye hana kazi nyingine zaidi ya kuhubiri ni mwizi kwani Peter, Yohana na Yesu wote walikuwa na kazi nyingine.Je ni kweli kuwa mwezi wa januari huwa mgumu kimaisha kuliko miezi mingine!
Vipi una tafiti nyingine unazozifahamu!!