Naombeni ushauri.

Naombeni ushauri.

mysimu

Senior Member
Joined
May 2, 2017
Posts
151
Reaction score
44
Niifanyeje simu yangu kwani kila nikiingia internate kuna mijitangazo inajitokeza kila baada ya dakika fulani nisioijua! Inani boa sana. Je kwenu munaipata hii hali au mimitu? Na je nifanyeje kuyakomesha haya matangazo ya marakwa mara kwenye simu yangu?
 
Back
Top Bottom