Hii inapatikana ndani ya gazeti la serikali - The Herald
http://www.herald.co.zw/
Presidential hopefuls must have a party
Herald Reporters
Government will soon enact legislation that...
It is with sadness, I found about the passing of Fr. Joseph Bill, a friend and confidant for many years back. Nilimfahamu kwa karibu na kwake nilijifunza mengi.
Baadhi ya jinsi nilivyo sasa ni...
Rate your experience with your mobile phone network, and give it a rating . This will help the public to identify more clearly which network they might choose in the future.
Read this before...
Kivuli cha Karamagi: Wabunge waukataa muswada wa umeme, mafuta
*Wakataa muswada wa sheria ya umeme
*Wasema hauna maslahi kwa taifa
Na Waandishi Wetu
WABUNGE wa Jamhuri ya Muungano wa...
Ni jambo linalotia kichefuchefu kuona muswada uliopelekwa kwenye semina ya Bunge lililopita unataka kupelekwa kwenye Bunge lijalo. Cha kushangaza zaidi ni pale muswada huo unakuwa na saini ya...
Sababu 10 Kwanini Mwanyika ajiuzulu
Lula wa Ndali-Mwananzela Machi 19, 2008
Raia Mwema
KATIKA ulimwengu wa utoaji sababu kuna sababu ambazo zinakubalika na zisizokubalika...
hii ya kuangalia kama similar thread imeshakuwa posted, sijui kama inafanya kazi sawa sawa maana niliangalia kama "TANESCO yatahadharisha kuwapo kwa mgao" kwa kutumia kichwa cha habari hicho...
Ni mara ngapi unachunguza salio lako? Km uko ktk mtandao wa tiGo, angalia salio kabla ya kutuma SMS, kisha, km Delivery Report inachelewa au msg iko pending, angalia tena salio. Utagundua kuwa...
WAMACHINGA, WAPUUZENI HAWA HAWANA SERIKALI
HOTUBA YA MGENI RASMI NDUGU.MHONGA SAID RUHANYWA(MB) VITI MAALUMU CHADEMA KATIKA MKUTANO NA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO WA MKOA WA DAR ES SALAAM...
WanaJf,
Tulikuwa tukifuatilia Afya ya aliyekuwa Gavana na kushinikiza serikali imrejeshe ili aje kuhukumiwa kwa makosa aliyoyatenda. Wakati tukifuatilia hayo sisiem na sirikali wakaunda Tume...
Hapa mjini kumezuka kwa sasa sijui niite bahati nasibu au la katika sijui niita makampuni kama FOREVER la marekani NA POWER CLUB kutoka Italy.
Kwa kifupi mtu unaweka kiasi flani cha pesa mfano...
Mafisadi wamefanikiwa
Kwa takribani wiki nzima hapa JF na hata kwenye baa hapa nyumbani kote mjadala ulioshika kasi ni mkopo wa Mbowe. Je, mafisadi wamefanikiwa kutugeuza mawazo? Mbona...
Ni usiku wa saa 6 nimetoka katika pilika za maisha za kila siku , gari linasimama katika mataa ya magomeni mapipa , ghafla watoto wadogo zaidi ya 5 wanakuja upande wa dereva kama vile wanahitaji...
Jamani mimi nina swala, nina mdogo wangu kamaliza form four na hataki kwenda A-level. Nauliza kuna vyuo vinavyotoa degree kwa credentential za form fours?
Kama US colleges au Canada ambazo...
Kutokana na ramani nyingi ( mfano ni hiyo hapo juu) mpaka huu uko ukingoni mwa ziwa Nyasa/Malawi na ziwa lote ni la Malawi.Ina maana kuwa wavuvi na boti zetu zinaposafiri mno zinaingia bila kibali...
Arthur C. Clarke, that British institution, visionary,pioneer, scientist, author, essayist and arguably the most fitting successor to H.G Wells, is no more.He was up there with Carl Sagan and...
I don't own one, may be in the near future!... Anyway, what's your take on this turning point lawsuit?!
Supreme Court considers 'right to bear arms'
Justices set to mull gun rights...
Mali za vigogo sasa zaanza kukamatwa
::Ni wale waliokopa Mfuko wa Pembejeo
na mwandishi wetu (Mtanzania)
SERIKALI imeanza kukamata na kuuza mali za wadaiwa sugu waliokopa mabilioni ya...