Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Hii inapatikana ndani ya gazeti la serikali - The Herald http://www.herald.co.zw/ Presidential hopefuls must have a party Herald Reporters Government will soon enact legislation that...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
It is with sadness, I found about the passing of Fr. Joseph Bill, a friend and confidant for many years back. Nilimfahamu kwa karibu na kwake nilijifunza mengi. Baadhi ya jinsi nilivyo sasa ni...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu mlio Kansas je hii ishu ilikuaje tena maana it is just too ridiculous!!!! http://www.eastafricayote.com/showthread.php?p=3814#post3814
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Rate your experience with your mobile phone network, and give it a rating . This will help the public to identify more clearly which network they might choose in the future. Read this before...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kivuli cha Karamagi: Wabunge waukataa muswada wa umeme, mafuta *Wakataa muswada wa sheria ya umeme *Wasema hauna maslahi kwa taifa Na Waandishi Wetu WABUNGE wa Jamhuri ya Muungano wa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Ni jambo linalotia kichefuchefu kuona muswada uliopelekwa kwenye semina ya Bunge lililopita unataka kupelekwa kwenye Bunge lijalo. Cha kushangaza zaidi ni pale muswada huo unakuwa na saini ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Sababu 10 Kwanini Mwanyika ajiuzulu Lula wa Ndali-Mwananzela Machi 19, 2008 Raia Mwema KATIKA ulimwengu wa utoaji sababu kuna sababu ambazo zinakubalika na zisizokubalika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hii ya kuangalia kama similar thread imeshakuwa posted, sijui kama inafanya kazi sawa sawa maana niliangalia kama "TANESCO yatahadharisha kuwapo kwa mgao" kwa kutumia kichwa cha habari hicho...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni mara ngapi unachunguza salio lako? Km uko ktk mtandao wa tiGo, angalia salio kabla ya kutuma SMS, kisha, km Delivery Report inachelewa au msg iko pending, angalia tena salio. Utagundua kuwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
WanaJF hebu isomeni hiyo attachment ingawaje ni nefu kidogo kisha mtoe comments zenu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAMACHINGA, WAPUUZENI HAWA HAWANA SERIKALI HOTUBA YA MGENI RASMI NDUGU.MHONGA SAID RUHANYWA(MB) VITI MAALUMU CHADEMA KATIKA MKUTANO NA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO WA MKOA WA DAR ES SALAAM...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
WanaJf, Tulikuwa tukifuatilia Afya ya aliyekuwa Gavana na kushinikiza serikali imrejeshe ili aje kuhukumiwa kwa makosa aliyoyatenda. Wakati tukifuatilia hayo sisiem na sirikali wakaunda Tume...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hapa mjini kumezuka kwa sasa sijui niite bahati nasibu au la katika sijui niita makampuni kama FOREVER la marekani NA POWER CLUB kutoka Italy. Kwa kifupi mtu unaweka kiasi flani cha pesa mfano...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mafisadi wamefanikiwa Kwa takribani wiki nzima hapa JF na hata kwenye baa hapa nyumbani kote mjadala ulioshika kasi ni mkopo wa Mbowe. Je, mafisadi wamefanikiwa kutugeuza mawazo? Mbona...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni usiku wa saa 6 nimetoka katika pilika za maisha za kila siku , gari linasimama katika mataa ya magomeni mapipa , ghafla watoto wadogo zaidi ya 5 wanakuja upande wa dereva kama vile wanahitaji...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani mimi nina swala, nina mdogo wangu kamaliza form four na hataki kwenda A-level. Nauliza kuna vyuo vinavyotoa degree kwa credentential za form fours? Kama US colleges au Canada ambazo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kutokana na ramani nyingi ( mfano ni hiyo hapo juu) mpaka huu uko ukingoni mwa ziwa Nyasa/Malawi na ziwa lote ni la Malawi.Ina maana kuwa wavuvi na boti zetu zinaposafiri mno zinaingia bila kibali...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Arthur C. Clarke, that British institution, visionary,pioneer, scientist, author, essayist and arguably the most fitting successor to H.G Wells, is no more.He was up there with Carl Sagan and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I don't own one, may be in the near future!... Anyway, what's your take on this turning point lawsuit?! Supreme Court considers 'right to bear arms' Justices set to mull gun rights...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mali za vigogo sasa zaanza kukamatwa ::Ni wale waliokopa Mfuko wa Pembejeo na mwandishi wetu (Mtanzania) SERIKALI imeanza kukamata na kuuza mali za wadaiwa sugu waliokopa mabilioni ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…