Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 45
Mafisadi wamefanikiwa
Kwa takribani wiki nzima hapa JF na hata kwenye baa hapa nyumbani kote mjadala ulioshika kasi ni mkopo wa Mbowe. Je, mafisadi wamefanikiwa kutugeuza mawazo? Mbona hatumuulizi tena Rostam Aziz atarudisha lini fedha za mkataba batili wa Dowans/Richmond? Je, maelezo ya kamati ya EPA yametutosheleza? Je, tumemwacha Lowassa aende nchi Takatifu badala ya kutupa majibu? Na Mkapa naye ya Kenya si yamechakwisha? Anasemaje kuhusu Kiwira? Yule Jeetu Patel amesharejea? Na Balalli naye hajapona tu? Yule Vishlani wa Rada bado haonekani kama Osama? Je, Sakata la NSSF na Manji tumelisahau? Vipi orodha ya wauza unga toka kwa Kikwete?
Kwa takribani wiki nzima hapa JF na hata kwenye baa hapa nyumbani kote mjadala ulioshika kasi ni mkopo wa Mbowe. Je, mafisadi wamefanikiwa kutugeuza mawazo? Mbona hatumuulizi tena Rostam Aziz atarudisha lini fedha za mkataba batili wa Dowans/Richmond? Je, maelezo ya kamati ya EPA yametutosheleza? Je, tumemwacha Lowassa aende nchi Takatifu badala ya kutupa majibu? Na Mkapa naye ya Kenya si yamechakwisha? Anasemaje kuhusu Kiwira? Yule Jeetu Patel amesharejea? Na Balalli naye hajapona tu? Yule Vishlani wa Rada bado haonekani kama Osama? Je, Sakata la NSSF na Manji tumelisahau? Vipi orodha ya wauza unga toka kwa Kikwete?