Tanzania 1
Senior Member
- Oct 4, 2007
- 197
- 25
Ni mara ngapi unachunguza salio lako? Km uko ktk mtandao wa tiGo, angalia salio kabla ya kutuma SMS, kisha, km Delivery Report inachelewa au msg iko pending, angalia tena salio. Utagundua kuwa pesa zimeshakatwa hata kabla msg haijafika ulikokukusudia. Hii ina maana kuwa wanakata pesa hata km msg ina-fail.
Je, ni SMS ngapi zina-fail kwa saa moja kila siku?
Wakati mwingine salio linapokaribia kwisha, hasa unapopiga simu kwenda kwenye simu ya mtandao tofauti na tiGO, basi ile sauti "salio lako halitoshi ..." pia unailipia. Yaani, kile kiasi kidogo ulichobakiwa nacho pia kinaliwa!!
Hii ndio tiGO, EXPRESS YOURSELF!!!
Je, ni SMS ngapi zina-fail kwa saa moja kila siku?
Wakati mwingine salio linapokaribia kwisha, hasa unapopiga simu kwenda kwenye simu ya mtandao tofauti na tiGO, basi ile sauti "salio lako halitoshi ..." pia unailipia. Yaani, kile kiasi kidogo ulichobakiwa nacho pia kinaliwa!!
Hii ndio tiGO, EXPRESS YOURSELF!!!