Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,960
- 719
Ni jambo linalotia kichefuchefu kuona muswada uliopelekwa kwenye semina ya Bunge lililopita unataka kupelekwa kwenye Bunge lijalo. Cha kushangaza zaidi ni pale muswada huo unakuwa na saini ya FISADI aliyeachia ngazi. Kitu nachojiuliza ni kuwa baada ya huo muswada kukataliwa na wabunge, wahusika akiwa Waziri, Naibu waziri na wengineo waliahidi kufanya marekebisho. Anyway, huyu Mh. Ngeleja alipopata promotion toka naibu hadi full waziri aliahidi kuwa atafanya mabadiliko mapema iwezekanavyo kuhusu hilo pamoja na mapendekezo ya Kamati ya Mwakyembe. Sasa ndiyo nini kupeleka muswada ule ule ambao haukuwa na cha ziada kipya huku ukiwa umehitimishwa na sahihi ya Fisadi KARA-MAVI. Jamani hivi ni lini hii serikali ya Kikwete itakuwa serious???????????? Yaani hata Waziri hakuupitia tena hata danganyia angeweza kubadili signature. Walishazoea Majority ya wabunge ambao ni SISIEMU wenyewe kutegesha tu mkono na kulamba bahasha zao za posho bila kuangalia au kusoma kwa makini vitu kama hivyo.
Mie nafikiri waziri Ngelega ulitakiwa uachie ngazi maana siamini kama unajua unachokifanya hapo wizarani. Itakuwaje upeleke muswada kwa wabunge ukijua kuwa hauna idhini yako?????? Kama hukutia saini ina maana hukuidhinisha document ya serikali kwenda nje. Hakuna hata aliyesaini on behalf, kwa msingi huo inamaanisha hukuusoma kabisa na kama uliusoma basi hukufanyia marakebisho kulingana na mapungufu yaliyokuwemo. Sasa kama hukupitia muswada itakuwaje sembuse Mkataba???????? Yaani tayari ulishaonyesha mapungufu na hufai kabisa. Au JK atueleze kama NAZIR-A KURAMAVI alijiuzuru kigeresha na bado anafanya kazi za serikali, inawezekana labda tunafichwa.
Sasa huku tunaambiwa kuwa kunaweza kukawepo mgao wa umeme. Na tuna waziri ambaye aliahidi kuwa atafanya mabadiliko mapema kuhusu suala la umeme. Sasa hayo mabadiliko ni yapi au ndo ya kuacha signature ya Fisadi kwenye muswada. Itakuwa ni AIBU na KICHESHO cha KARNE Tanzania kuanza ku-experience tena mgao wakati kuna makampuni hapa yanalamba pesa zetu kwa wingi tu kwa ajili ya uzalishaji. JK tafadhali acheni masihara kabisa, haiwezekani watu wakaanza ku-face mgao watu wengine bado wamekalia pesa za wananchi mojawapo akiwa rafikiyo. Jamani hizi ni mali ya watanzania halafu leo unadiriki kusema kutakuwepo na mgao. Ben Mkapa hujamuuliza kuhusu Songas halafu mnasema TANESCO kununua hisa Songas. Jamani jamani, rudisha kwanza Songas kwa wananchi kwanza halafu mambo mengine ndo yataanza kujadiliwa. Ben na Yona walituibia hii Songas halafu JK umepata madaraka hutaki kuhoji jinsi walivyo acquire hiyo Songas...
Nasema tena ACHENI MASIHARA, kuweni serious na kazi za watu jamani, ndo wamewaweka hapa. Hainingii hata kwa sekunde watu wa-face mgao huku DOWANS ikiendelea kulamba pesa zetu, Ben na Yona wao wakizidi kuneemeka na Songas yetu. Pls JK do something about that........
Mie nafikiri waziri Ngelega ulitakiwa uachie ngazi maana siamini kama unajua unachokifanya hapo wizarani. Itakuwaje upeleke muswada kwa wabunge ukijua kuwa hauna idhini yako?????? Kama hukutia saini ina maana hukuidhinisha document ya serikali kwenda nje. Hakuna hata aliyesaini on behalf, kwa msingi huo inamaanisha hukuusoma kabisa na kama uliusoma basi hukufanyia marakebisho kulingana na mapungufu yaliyokuwemo. Sasa kama hukupitia muswada itakuwaje sembuse Mkataba???????? Yaani tayari ulishaonyesha mapungufu na hufai kabisa. Au JK atueleze kama NAZIR-A KURAMAVI alijiuzuru kigeresha na bado anafanya kazi za serikali, inawezekana labda tunafichwa.
Sasa huku tunaambiwa kuwa kunaweza kukawepo mgao wa umeme. Na tuna waziri ambaye aliahidi kuwa atafanya mabadiliko mapema kuhusu suala la umeme. Sasa hayo mabadiliko ni yapi au ndo ya kuacha signature ya Fisadi kwenye muswada. Itakuwa ni AIBU na KICHESHO cha KARNE Tanzania kuanza ku-experience tena mgao wakati kuna makampuni hapa yanalamba pesa zetu kwa wingi tu kwa ajili ya uzalishaji. JK tafadhali acheni masihara kabisa, haiwezekani watu wakaanza ku-face mgao watu wengine bado wamekalia pesa za wananchi mojawapo akiwa rafikiyo. Jamani hizi ni mali ya watanzania halafu leo unadiriki kusema kutakuwepo na mgao. Ben Mkapa hujamuuliza kuhusu Songas halafu mnasema TANESCO kununua hisa Songas. Jamani jamani, rudisha kwanza Songas kwa wananchi kwanza halafu mambo mengine ndo yataanza kujadiliwa. Ben na Yona walituibia hii Songas halafu JK umepata madaraka hutaki kuhoji jinsi walivyo acquire hiyo Songas...
Nasema tena ACHENI MASIHARA, kuweni serious na kazi za watu jamani, ndo wamewaweka hapa. Hainingii hata kwa sekunde watu wa-face mgao huku DOWANS ikiendelea kulamba pesa zetu, Ben na Yona wao wakizidi kuneemeka na Songas yetu. Pls JK do something about that........