Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Ndugu Watanzania wa DC, nafahamu Rais wa mapinduzi Zanzibar Mh. Karume alifanya maongezi na Watanzania wa hapo. Jee mswada mkuu ulikuwa nini? Please naomba mtumegee hizo hint
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wameweka links tofauti na habari iliopo ndani. BBC idhaa ya kiswahili inaonekana katika siku za hivi karibuni kuna dalili za uzembe. Katika tovuti yake tegemeo kwa waswahili wengi hasa wale...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimesikia na kusikiliza mengi ila hili jina la CCM naona limebeba urefu wa maneno mengi kila mmoja na tafsiri yake ukilinganisha na vyama vingine vya siasa. Je wewe kama mfuatiliaji wa siasa za...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Mwandishi Wetu Daily News; Wednesday,May 14, 2008 @08:00 CHAMA cha Wananchi (CUF) kimeanika hadharani nyaraka zote zinazoonyesha kuwa mazungumzo baina yake na Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
A look at some of the deadliest natural disasters around the world in the past 40 years: • May 2008: Earthquake (magnitude 7.9) hits Sichuan province in central China. Thousands are killed. •...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna tetesi kwamba Mahita yupo kwenye jela ndogo (jela ya nyumbani) kwa sababu yupo chini ya uangalizi kwa kuwa alishirikiana na baadhi ya RPC na kina Zombe na kusupport mitandao ya majambazi hapa...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Dedicated to akina Mama hapa JF na akina Mama wote wengine ulimwenguni. .....akina Mama Oyeeee!!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wana JF na watanzania kwa ujumla, Mahali fulani katika jukwaa hili suala la falsafa limehojiwa. hojaji hiyo imeambatana na madai ya kwamba taasisi zetu za kisiasa(vyama) havina misingi ya...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Kumbe hata ccm wamechukizwa na ufisadi wa jamaa zao? Wawaomba watanzania tuwaamini,tuwasadiki, je ni kweli ni vema kuwaamini kwa sasa kwa jinsi walivyotufikisha hapa tulipo? Kwa kuwa umoja...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nini Ajenda ya JF 2010? Kama Tunavyoelewa kwamba sisi na Wananchi kwa ujumla tumechoshwa na ufisadi na uongozi mzima wa Siri-kali yetu.Tumebakiza miaka 2 kufikia uchaguzi wa 2010. Ningependekeza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Juu ni picha ya gazeti la wamiliki wa mtandao wa www.tzuk.net (tzuk.com). Likiwa kama nakala ya kwanza ya gazeti, nathubutu kusema kuwa limetulia, lina kurasa 15, zile zenye habari,picha na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ama kweli tz hatuko huru,na uhuru wenyewe ni kharaha kabisa..katika zurula yangu sehemu mbalimbali nimefanikiwa kupita Mkoa wa Kagera baadhi ya sehemu. jamani!!!!!!kuna belia(vuzuizi barabarani)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Inaelekea mkuu wa nchi haelewi njia za kukuza viwango vya makandarasi wetu. Kama miradi karibu yote wanapewa wageni kwa asilimia 100, je hawa wa kwetu watajifunza vipi? Hakuna technology transfer...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Hope mko sawa, Kuna mtu wangu wa karibu katumiwa email iliyo andikwa kama ifuatavyo, Hello PLEASE READ AND GET BACK TO US IF YOU ARE INTERESTED ( NOT SCAM) AuPair is an International...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Poll Poll
If you are preparing for a career in IT or are new to IT, many of the “dirty little secrets” listed below may surprise you because we don’t usually talk about them out loud. If you are an IT...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mods vipi bana....kwa nini mmenifungia kule kwa Obama? This is not fair y'all
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Wikiendi hii nilienda kuwacheki masela, mabaharia na machizi basi hapo ndani ya Upper West Side ya Soweto, six degrees north of nowhere -ruptured from the fabric of spacetime continuum if you get...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
> Jumanne Mei 06, 2008 Habari za Kitaifa Habari zaidi! Aliyekutwa na kichwa cha mtoto kortini kwa mauaji Veronica Mheta na Emil SimonDaily News; Tuesday,May 06, 2008 @00:03 Habari nyingine...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tatizo: Kufurika kwa maji katika mitaa ya Jiji la Dar-es-Salaam na kusababisha usumbufu mkubwa kwa magari, wapita njia na uharibifu wa barabara na majengo. Kwa miaka nenda rudi maeneo ya...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mtoto wa Mbunge Keenja afutiwa dhamana Habari Zinazoshabihiana • Baada ya bintiye kunyimwa dhamana...Keenja aingilia kati, yatolewa 27.03.2008 [Soma] • 'Mtoto' wa Mbunge kizimbani...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…