Sioni kwanini waliamua kulifanya hili swala la Balalli kujiuzulu siri. Muungwana angesema nimepokea barua ya kujiuzulu toka kwa Gavana wa BOT Ballali, lakini nimeikataa barua hiyi mpaka hapo...
Heshima Mbele.Kuna Taarifa ambazo nimezipata kutoka kwa Afisa mmoja Mwandamizi wa Usalama,Kaniambia Ndugu yetu Daud Balali Amefariki Dunia.Nimejaribu kuwasiliana na Mzee Mwanakijiji kasema ataweka...
ndugu wahusika.
ninaomba tuangalie hii adhaa wanayopata wananchi wa wanaotumia vivuko kigamboni.
kigamboni ni kati ya maeneo ya yanayokua kwa kasi sana katika nyanja za kibiashara,kilimo,utalii...
Posted Date::1/5/2008
Serikali bado yaiota Real Madrid
Na Vicky Kimaro
Mwananchi
SERIKALI bado inaiota ziara ya vigogo wa Hispania, Real Madrid, ambao walialikwa mwaka jana kwa ajili ya...
Aided by video cameras mounted on buses, San Francisco has launched an initiative to punish drivers who illegally park in transit-only lanes.
The goal is to clear traffic lanes for Muni buses...
Ama kweli siri kali!
Posted Date::1/8/2008
Vipi Ripoti ya Ukaguzi BoT ikabidhiwe kwa Rais kinyemela?
Mwananchi
JUZI Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG), Ludovick Utouh...
Nnalia sana na "The Obamas of Kenya still live as they have for decades, even though their most famous relative is in a hotly contested race to become the next president of the United States. "...
Ikiwa nchi zote zilizoendelea zikiwa ziko mbioni ( baadhi tayari) kuondoka kwenye analog transmissions kwenda digital, Tanzania wana mpango gani? Na nini athari zake kwetu sisi ambao ni addicts wa...
Mwanamke akifiwa mumewe ana haki zipi katika mali za mumewe (au mali walizochuma na mumewe)? Yeye huwa ni msimazi tu wa mirathi au ana haki ya mgao kama mali zitagawanywa?
Je, kama akiolewa tena...
Nimeshika Gazeti la Uhuru la leo, mbele yangu yapo pia magazeti mengine ya hapa nyumbani ikiwemo gazeti la serikali la habari leo. Ndani ya gazeti la CCM la uhuru kuna matangazo matano ya serikali...
Hii dhana ya kuwa kila kitu kifanyike dar bila kuangalia strategic location nadhani ni matatizo ya kimaamuzi. Serikali inampango wa kujenga chuo kipya na cha kisasa cha utalii Dar. Mimi kwa moani...
Wana jf nimepata fununu kutoka kwenye vyombo vyangu vya habari nimepata tetesi kuwa huenda mabadiliko ya cabinet yakawa jumatano ya wiki ianzayo kesho,kisha nikaendelea kudadisi nikaja kupata...
Tensions rise as US navy claims clash with Iran vessels
· Pentagon says its warships were harassed on oil route
· Incident coincides with nuclear chief's Tehran trip
Dan Glaister in Los...
how can a government be so incompetent kiasi cha kuamua kummaliza mwandishi wa habari kwa kummwagia mikojo ya punda usoni na mwingine kumkata na panga butu.How about mshale wa sumu?kwanza mshale...
wadugu bloggers
Ninatatizwa na gharama za umeme na Mkaa kwenye kupikia, naomba kama kuna anayejua gharama za mtungi mmoja wa gesi na wapi naweza kuipata hapa Dar. Mkaa sio bei sana lakini sio...
Na Muhibu Said
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza azma ya kufanya maandamano ya amani hadi ubalozi wa Kenya nchini hapa, kulaani matokeo tata ya Uchaguzi Mkuu yaliyompa...
Naomba msaada,
Wakati twaongelea kubadilisha mwelekeo wa utendaji na uongozi wa nchi yetu, kuna hii habari kuwa Kamati ya Maendeleo ya Kagera imeona kuwa Mkoa uvunjwe pande mbili kurahisisha...
Afrika tuna sifa ya kuongozwa na wazee sana. Vile vile idadi ya viongozi wa Afrika ambao wamekuwapo madarakani kwa zaidi ya miaka 10 ni kubwa kidogo. Kama nchi nyingi zilivyoanza kuwa na term...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.