Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Catholic church child sex scandal hits Brazil as priest, 83, is arrested over alter boy abuse allegations Last updated at 4:28 PM on 20th April 2010 Pope Benedict leads the funeral...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MMOMONYOKO wa maadili unaelekea kuiathiri jamii ambapo sasa baadhi ya viongozi wa dini wanazidi kuingia matatani kutokana na kushiriki katika vitendo vya ngono. Mchungaji wa kanisa la African...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Far more people in India have access to a mobile phone than to a toilet, according to a UN study on sanitation. India's mobile subscribers totalled 563.73 million at the last count, enough to...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa BBC nchi ya misri imedai kutumia maji ya mto nile ni haki yake na haiwezi kuruhusu haki hiyo ipokonywe na nchi kama Kenya, Tanzania na Ethiopia ambapo mto huo una vyanzo vyake...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WABUNGE wametaka raia wa Kenya na Uganda walioajiriwa katika sekta mbalimbali nchini, kabla ya kuanza kwa Itifaki ya Soko la Pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki, warudishwe makwao. Pia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hili zoezi la kuichangia CCM bado halijaniingia akilini vizuri. Hawa jamaa ndo wamekuwepo madarakani tangia tunapata uhuru. Wametuibia kwa dizaini zote yaani hata makovu ya Richmond, mikataaba...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau, hivyi yule jamaa aliyeenda India kufanyiwa upasuaji baada ya kutumia madawa ya kichina na kusababisha uume wake kuwa mkubwa na hata kukimbiwa na mke wake amesharudi? Jeh! mtalimbo...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wadau, nilikuwa nasikiliza BBC Swahili leo asubuhi na ndipo ilipokuja habari kuhusu adhabu ya kifo kwa upande wa nchi yetu. Takwimu zinaonesha kuwa kipindi cha awamu ya kwanza na ya pili...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, ni matumaini yangu mnaendelea vyema na majukumu. Nachukuwa nafasi hii kueleza kile kinachonishangaza. Hivyi karibuni kiwanda cha Coka kupitia vinywaji vyake walitangaza zawadi mbalimbali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
420, 4:20 or 4/20 (pronounced four-twenty) refers to consumption of cannabis and, by extension, a way to identify oneself with cannabis drug subculture.[1][2] The term originated from a group...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TATIZO la ajira nchini limeendelea kuongezeka na kusababisha maelfu ya Watanzania kugombea nafasi za kazi chache zinazotangazwa sasa hivi kwenye mashirika mbalimbali. Miongoni mwa eneo ambalo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, kutokana na kushamiri kwa makanisa mengi hapa nchini na hata mengine kuongozwa na wachungaji (wanavyojipachika vyeo) ambao hawajaoa ili hali wao ndiyo wakubwa wa makanisa hayo. Jeh! Ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hawa Learned Proffession: nakwazika sana mnapotumia kiingereza mahakamani na upande mwingine masikini ya Mungu mtanzania mwenzio hata hajui unaongelea nini!!! (na anajiwakilisha mwenyewe) sijui...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Should African religions be preserved? Traditional African religions are still alive and well in Africa, says a survey done by the American research organisation, Pew Research...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunayakosa maoni yenu na mawazo yenu; nikiangalia maoni yanayotolewa mara kwa mara na wale ambao tumo humu siku nyingi ni wazi kuwa sehemu kubwa ya watumiaji hawajajiunga na ni watazamaji tu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Meat Market The predominant tourist in Zanzibar seems to be the Italian. I have no idea why there are so many Italian tourists in Zanzibar – but they are everywhere – and boy, do they...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Utapeli Kwa Njia ya SMS – Tuwe Makini Ndugu zangu kuna watu wameanza kulalamika kwamba wanapata ujumbe kwenye simu zao za mikono kutakiwa kuchangia vyama kadhaa vya kisiasa nchini , nilipopata...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hatimaye klabu za Simba na Yanga, jana zilicheza mechi yao ya kukamilisha ratiba ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Uhuru. Ni imani yetu kwamba baada ya mechi hiyo, walau tambo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nasikia Kesho unasomwa mswada mpya wa Madini Bungeni -- na utasomwa mara tatu ndani ya Mkutano huu wa 19 wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania -- na kupitishwa. Mwenye taarifa zaidi na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…