Kwa mujibu wa BBC nchi ya misri imedai kutumia maji ya mto nile ni haki yake na haiwezi kuruhusu haki hiyo ipokonywe na nchi kama Kenya, Tanzania na Ethiopia ambapo mto huo una vyanzo vyake.
Waziri wa maji wa Misri amesema, serikali yake haiwezi, kukubali kupeana haki yake ya kutumia asilimia 90 ya maji ya mto Nile kuambatana na mkataba uliotiwa saini nchini Sudan mwaka wa 1959.
Mkataba huo umepingwa vikali na mataifa ambayo mto huo una vyanzo vyake kama vile Ethiopia, Tanzania na Kenya.
Wakuu mimi nashindwa kuwaelewa hawa waarabu, hivi wana haki gani ya kutumia maji ambayo chanzo chake ni afrika mashariki na wadai sisi wenye vyanzo tusitumie?
Hapa napendekeza tuongeze mabomba ya maji kutoka ziwa victoria tupeleke maji Singida, Tabora, Dodoma na Manyara ili wakome hawa waarabu wasio na akili.
Kwa nini serikali za EA zinashindwa kutumia maji kwa raha tuone waarabu wale watafanya nini? Vita yenyewe hawawezi wale na kama wanaleta fyoko tunampa miradi hiyo Israel tuone watasema nini!!!
Waziri wa maji wa Misri amesema, serikali yake haiwezi, kukubali kupeana haki yake ya kutumia asilimia 90 ya maji ya mto Nile kuambatana na mkataba uliotiwa saini nchini Sudan mwaka wa 1959.
Mkataba huo umepingwa vikali na mataifa ambayo mto huo una vyanzo vyake kama vile Ethiopia, Tanzania na Kenya.
Wakuu mimi nashindwa kuwaelewa hawa waarabu, hivi wana haki gani ya kutumia maji ambayo chanzo chake ni afrika mashariki na wadai sisi wenye vyanzo tusitumie?
Hapa napendekeza tuongeze mabomba ya maji kutoka ziwa victoria tupeleke maji Singida, Tabora, Dodoma na Manyara ili wakome hawa waarabu wasio na akili.
Kwa nini serikali za EA zinashindwa kutumia maji kwa raha tuone waarabu wale watafanya nini? Vita yenyewe hawawezi wale na kama wanaleta fyoko tunampa miradi hiyo Israel tuone watasema nini!!!