Uume wa dawa za kichina

Dr. Chapa Kiuno

JF-Expert Member
Sep 11, 2009
443
18
Wadau, hivyi yule jamaa aliyeenda India kufanyiwa upasuaji baada ya kutumia madawa ya kichina na kusababisha uume wake kuwa mkubwa na hata kukimbiwa na mke wake amesharudi?

Jeh! mtalimbo umerudia hali ya kawaida, au?
 
Angeenda hukohuko China kutibiwa...
Otherwise mi sijui kama asharudi, lakn nadhani anajuuuta kununua hizo dawa!
 
Waache wajifunze kutokana na makosa.
Mwili wa mwanadamu hauna genuine spare...
Spare zake zote feki.
Wanaoifanyia majaribio miili yao waache walie kilio cha mbwa koko
 
Mh! Mi niliskia kuwa amerudi lakini saizi imepungua kidogo haijawa kama ilivyokuwa origino(kabla ya kutumia mchina)
 
kawaulize GPL
Wadau, hivyi yule jamaa aliyeenda India kufanyiwa upasuaji baada ya kutumia madawa ya kichina na kusababisha uume wake kuwa mkubwa na hata kukimbiwa na mke wake amesharudi?

Jeh! mtalimbo umerudia hali ya kawaida, au?
 
Back
Top Bottom