Nyundo_tz
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 640
- 21
Wadau, kutokana na kushamiri kwa makanisa mengi hapa nchini na hata mengine kuongozwa na wachungaji (wanavyojipachika vyeo) ambao hawajaoa ili hali wao ndiyo wakubwa wa makanisa hayo.
Jeh! Ni nani atamfungisha ndoa endapo atataka kuoa?
Au anajifungisha mwenyewe ndoa? Kumbuka ndy kwanza kaanzisha kanisa...
Jeh! Ni nani atamfungisha ndoa endapo atataka kuoa?
Au anajifungisha mwenyewe ndoa? Kumbuka ndy kwanza kaanzisha kanisa...