Ndoa zao zikoje hawa?

Ndoa zao zikoje hawa?

Nyundo_tz

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2009
Posts
640
Reaction score
21
Wadau, kutokana na kushamiri kwa makanisa mengi hapa nchini na hata mengine kuongozwa na wachungaji (wanavyojipachika vyeo) ambao hawajaoa ili hali wao ndiyo wakubwa wa makanisa hayo.

Jeh! Ni nani atamfungisha ndoa endapo atataka kuoa?

Au anajifungisha mwenyewe ndoa? Kumbuka ndy kwanza kaanzisha kanisa...
 
Mbonea bwana huyu akitaka kuoa lazima afungishwe na mchungaji mwingine ..ingawa anaweza kuwa ni wa kanisa hilo hilo sehemu nyingine ..Ila hawa nao wana hatari
Ukiuliza wanasema wanaupako na karama yao ni kutangaza neno la mungu...
kweli hizi ni siku za mwisho na ni nyakati za hatari
 
Wadau, kutokana na kushamiri kwa makanisa mengi hapa nchini na hata mengine kuongozwa na wachungaji (wanavyojipachika vyeo) ambao hawajaoa ili hali wao ndiyo wakubwa wa makanisa hayo.

Jeh! Ni nani atamfungisha ndoa endapo atataka kuoa?

Au anajifungisha mwenyewe ndoa? Kumbuka ndy kwanza kaanzisha kanisa...

Haya makanisa yapo mengi na yanazidi kushamiri na kila kanisa lina tafsiri biblia linavyo taka kwa maslai yao, so usishangae hao wanaojiita Askofu kiongozi,Mtume,Nabii akikuambia ndoa amfungishwa direct na GOD na muumini hutakiwi kuuliza.kisingizio usiulize mamlaka ya MUNGU
 
Mbonea bwana huyu akitaka kuoa lazima afungishwe na mchungaji mwingine ..ingawa anaweza kuwa ni wa kanisa hilo hilo sehemu nyingine ..Ila hawa nao wana hatari
Ukiuliza wanasema wanaupako na karama yao ni kutangaza neno la mungu...
kweli hizi ni siku za mwisho na ni nyakati za hatari

Aisee...
 
Njaa jamani ndio inayo leta haya yote,maana nakumbuka enzi hizo mchungaji habarikiwi kuwa mchungaji mpaka awe amefunga ndoa,siku hizi ni vurugu tupu,mtu akiweza kutafsiri mistari miwili ya bibilia anajiita mchungaji,hawa jamaa ndoa zao huwa wanawaalika wachungaji wenzie kumfungisha ndoa
 
Njaa jamani ndio inayo leta haya yote,maana nakumbuka enzi hizo mchungaji habarikiwi kuwa mchungaji mpaka awe amefunga ndoa,siku hizi ni vurugu tupu,mtu akiweza kutafsiri mistari miwili ya bibilia anajiita mchungaji,hawa jamaa ndoa zao huwa wanawaalika wachungaji wenzie kumfungisha ndoa

Ni wa kanisa lolote, au? (ANAYEALIKWA).
 
Kuvunga ndoa sio tatizo. Ninadhani hayo makanisa ya wanaojiita wachungaji wapo wengi, anaweza akampa madaraka mwenzake amfungishe ndoa.
 
Naona mnapata taabu sana na haya makanisa mapya, tofauti ni kuwa yanaanzishwa lini na yanajulikana kiasi gani. Hakuna kanisa linalo exist leo hii liliachwa na Yesu! hakuan jina la dhehebu lolote lililoandikwa kwenye biblia!(mtego) walioanza kujiita majina wengine ndio wanamalizia sasa. aliyeanzisha ubatizo wa maji kiduchu , mwingine atakuja na tone moja!

There is no justification ya kuwasema, ila kama wanavunja maandiko ya Mungu let us speak, kama hawatendi dhambi, why bother? sio kupoteza muda kweli?
 
Back
Top Bottom