ELECTION NIGHT IN AMERICA
Ref: Duru za siasa: Uchaguzi Mkuu USA
H.CLINTON (DEM) VS D.TRUMP (GOP)
Wanajamvi
Miaka , miezi, siku na ni masaa machache tu uchaguzi wa Marekani utakamilika...
Ten years ago, one of our renowned intellectuals, Professor Issa G. Shivji, published a chapter titled "Critical Elements of a New Democratic Consensus in Africa (pp.25-38). It was featured in a...
Please take time and ponder a little some of these famous quotes about dictatorship...happy reading!
Adolph Hitler: All propaganda has to be popular and has to accommodate itself to the...
Tanzania hatuna Mungu kama taifa? Nianze mada yangu na swali hilo la uchokozi.
Kuna kamtindo kamezuka mtandaoni, mtu ataandika ya kuandika kisha anahitimisha kwa "mungu anakuona" , na sasa...
Binadamu, Ndege , wadudu na wanyama wa porini wote hufa.
Ni nani mwenye mamlaka dhidi yetu?
Mwenye mamlaka dhidi yetu ni yeye afanyaye viumbe vyote kufa.
Kipindi chetu cha maisha hapa...
Kitu kimoja ambacho ninajua na serikali inapaswa kujua ni kwamba umoja wa nchi haupaswi kuchezewa. Nguvu ya taifa lolote lile inategemea sana umoja wa watu wake na sio ukubwa wa jeshi au silaha...
Ni matumaini yangu kwamba nitakachoandika hapa leo kitakuwa ni chenye manufaa na chenye kunyanyua uwezo wa akili na kufikirisha.
Tafakuri yangu ni kuhusu nchi ya demokrasia. Na ninadhani ya...
Usipotenda kwa umakini unaweza kujichukia na mambo mengi hayatoenda sawa. Kila mtu anahitaji mtu mwenye nguvu zaidi yake amnyanyue. Na mtu mwenye nguvu ni yule mwenye busara. Kwasababu hata kama...
Ni dhahiri bila elimu iliyobora maendeleo na amani ya nchi yetu itakuwa matatani. Ili taifa lolote lile liwe na amani ya kudumu watu wake lazima wawe na elimu.
Elimu ni kitu gani hiki ambacho...
Wanajamvi, uzi huu utakuwa endelevu ukizijadili siasa za Marekani kuelekea uchaguzi
Tumefanya hivyo chaguzi zilizopita na tunaendelea ingawa tumechelewa kidogo
Siasa za ndani ya nchi zimechukua...
UTANGULIZI
Ndugu wanajamvi
Kwanza, tumshukuru mdau aliyetufikia kwa maoni.
Mdau ameshauri kuwepo na uzi endelevu utakaoangaza shughuli za Bunge kila mara
Hili litasaidia sana katika kutenga...
Kule kwetu kuna msimu wenyeji hutafuta kitoweo cha panya. Utafutaji wa kitoweo hiki huhusisha kuchoma msitu ili kuwafukuza panya na baadye kuwakamata wanapokimbia kutauta kujiokoa na moto...
Baada ya 'kiza' cha siku kadhaa katika mtandao, tutakuwa na mabandiko yakiangalia uchaguzi uliomalizika
Kwa kutambua hatma ya taifa letu ni yetu sote. Mtazamo wetu upo wazi kujadiliwa kwa maono na...
MAFISADI WA VIPATO VYAO
Na Kahabi wa Isangula
Kila ninaposikiliza hotuba za wanasiasa zote zimejikita kutuaminisha kuwa Serikali ndiyo tiba pekee ya matatizo yetu ya maendeleo ya kiuchumi...
Katika taifa letu siku za hivi karibuni, watu wamekuwa wakiongelea kuhusu mabadiliko.
Mabadiliko ndilo limekuwa neno ambalo liko katika vinywa na mioyo yao. Watu wamekuwa wakiliongelea kwenye...
Leo ningependa tujadili kitu kimoja ambacho nimekipata kwa jitihada kubwa, katika kutafakari na kusoma, katika kufanya jitihada kujua mambo na katika kufungua milango ya ufahamu wa ubongo wangu...
FIKIRISHI ZA NGUMBALU 02:
Baada ya kukupa kisa cha mkulima na sekeseke la Magugu Shambani, leo nakulete kisa kiitwacho Mkenge wa mfotoa picha na Kamera ya Nyumbani.
SASA ENDELEA....
Yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.