Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us
Guys... Who is legal advisor wa Rais Magufuli? Au advisor wa namna yeyote ile? Hii ziara ya Pwani yametokea matamko ya Rais ya kusema "katika utawala wangu" but kwangu naona hakuna jitihada...
25 Reactions
7 Replies
8K Views
Ni miezi 15 tangu awamu ya Tano chini ya Rais Magufuli na kaulimbiu za HapaKaziTu na Utumbuaji zilipoingia madarakani na kuongoza Taifa. Pamoja na shauku kubwa ya wananchi na Taifa zima kuona...
13 Reactions
19 Replies
7K Views
Wadau salaam, Kwa kawaida uamuzi wa kujenga taifa lenye watu wa aina fulani u mikononi mwa wananchi wenyewe na wananchi ni mimi na wewe. Kwa hiyo mchango wako wewe na mwingine na mwingine (uwe...
10 Reactions
17 Replies
8K Views
Siku zetu zinakwisha hapa duniani tukiwa tumevaa miili tofauti kwenye uhai wetu. Kwanza utoto kisha ujana na uzee. Tunaishi, tunakufa tunaacha kizazi kingine kikiendelea kuishi. Maisha yetu hapa...
64 Reactions
2 Replies
11K Views
Kuna kitu kimoja kimeendelea kwa muda mrefu sasa na si ajabu tangu tupate Uhuru wetu nacho chaendana sambamba na jinsi Chama Tawala (TANU/ASP mpaka sasa CCM) ambapo kuna nguvu kubwa sana za...
10 Reactions
6 Replies
4K Views
Utangulizi Serikali ya awamu ya Tano chini ya Rais J.P.Magufuli (CCM) imeanza kuwatumikia wananchi kwa kipindi cha (2015-2020) kwa mujibu wa katiba ya JMT(1977). Vipaumbele vikuu vya serikali...
21 Reactions
223 Replies
51K Views
SAFARI YA DODOMA Uamuzi wa kuhamia Dodoma ni tukio la 'kushtukiza' lililopokelewa kwa mshawasha na hisia Ni tukio lilozua taharuki kwa taasisi, watendaji ,wafanyakazi na jamii kwa ujumla Kadri...
7 Reactions
16 Replies
10K Views
NYONGEZA 13/04/2017 Kujamba kujisafisha, nilisema mwaka Jana Ndondo nikijazilisha, jambo hutowa laana Hisi nakukasirisha, uwanja mpana sana Weza amua kupisha, ama pualo kubana Maharagwe...
22 Reactions
0 Replies
4K Views
CHUNGU KIFUKAPO MOSHI, VIPIKWAVYO VYAUNGUA Ninaleta fikirishi, watunzi kulitengua Zimezidi kashikashi, si zile nilichagua Uzombi ninaoishi, kifuani naugua Chungu kifukapo Moshi, Vipikwavyo...
10 Reactions
0 Replies
3K Views
KUTUNGA NITUNGE NINI? Niseme ya Magogoni, "Hapa Kazi" mafisadi? Njipendekeze Chamani, Tumbo langu kulinadi? Nimsifu Gazetini, "Atenda aloahidi" ? Kutunga nitunge nini, ya kutunga yakizidi...
15 Reactions
0 Replies
3K Views
MAHARAGWE UNILISHE, NKIJAMBA NI MKAIDI? Chonde Baba sinitishe, Ukimya si yangu Jadi Ili ujisahihishe, Kukosoa inabidi Kiakili nijishushe, kisa yako itikadi? MAHARAGWE UNILISHE, NKIJAMBA NI...
9 Reactions
0 Replies
3K Views
Wana wa jamii kuna taarifa ya kwamba jana Nape aliingia Bungeni kama hero, kwani alishangiliwa na wabunge wote hata kumlazimu mwenyekiti kuwataka hayo mahaba wayafanye bila kelele, mwenye video...
12 Reactions
1 Replies
8K Views
Hatuwezi kumaliza suala la madawa ya kulevya kwa nguvu peke yake. Matatizo ya kijamii ambayo tunayokabiliana nayo sasa ni lazima tuyaangalie katika mifumo yetu ya makuzi na malezi na mahusiano...
14 Reactions
14 Replies
6K Views
Wanajamvi, mara nyingi tumeongelea muungano na madhaifu yanayotishia hatma yake Kwa hali na mwelekeo uliopo ipo haja ya kuzungumzia tena na tena ili wakati ukifika tusijejiuliza maswali yenye...
5 Reactions
14 Replies
5K Views
I just read this news and thought it's worth sharing. In order to get developmental assistance, Tanzania amended its legislation, which should give commercial investors faster and better access...
8 Reactions
3 Replies
4K Views
Kama chama chochote cha siasa hakitakusaidia uboreke zaidi katika fikra zako na katika tabia yako, na maono yako kuhusu maisha yako, na utaifa wako, na badala yake kikakufundisha kuwa mbinafsi na...
8 Reactions
0 Replies
2K Views
Raia wanapaswa kuiogopa serikali au kuiheshimu? Raia hapaswi kuiogopa serikali yake bali kuiheshimu atakapoiogopa serikali yake atakuwa anauza uhuru wake na kuwa mtumwa. Hivyo raia wasiogope...
9 Reactions
0 Replies
3K Views
Papa na Nyangumi: Nani atawavua tuwale? Katika bahari, kuna samaki wakubwa wawili, Papa na Nyangumi. Samaki hawa wanaogopewa kwa kuwa ni wakubwa na wana uwezo wa kudhuru kila kilicho karibu yao...
4 Reactions
18 Replies
11K Views
Kumekuwepo na vita inayoitwa ya madawa ya kulevya vyovyote tutakavyoita ikiwa kama wapiganaji wanapigana sababu ya kupata umaarufu wa kisiasa, au kwasababu ya nia yao ya dhati na dhamira ya dhati...
7 Reactions
0 Replies
3K Views
Moja ya skill ya uongozi ambayo kiuongozi mzuri anapaswa kuwa nayo ni kusimamia agenda mpaka anaona mwisho wake, lakini pili kuifanya hiyo agenda iwe ya wananchi wenyewe kwakuwa wao ndio wajenga...
13 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom