Guys... Who is legal advisor wa Rais Magufuli? Au advisor wa namna yeyote ile?
Hii ziara ya Pwani yametokea matamko ya Rais ya kusema "katika utawala wangu" but kwangu naona hakuna jitihada...
Ni miezi 15 tangu awamu ya Tano chini ya Rais Magufuli na kaulimbiu za HapaKaziTu na Utumbuaji zilipoingia madarakani na kuongoza Taifa.
Pamoja na shauku kubwa ya wananchi na Taifa zima kuona...
Wadau salaam,
Kwa kawaida uamuzi wa kujenga taifa lenye watu wa aina fulani u mikononi mwa wananchi wenyewe na wananchi ni mimi na wewe. Kwa hiyo mchango wako wewe na mwingine na mwingine (uwe...
Siku zetu zinakwisha hapa duniani tukiwa tumevaa miili tofauti kwenye uhai wetu. Kwanza utoto kisha ujana na uzee. Tunaishi, tunakufa tunaacha kizazi kingine kikiendelea kuishi.
Maisha yetu hapa...
Kuna kitu kimoja kimeendelea kwa muda mrefu sasa na si ajabu tangu tupate Uhuru wetu nacho chaendana sambamba na jinsi Chama Tawala (TANU/ASP mpaka sasa CCM) ambapo kuna nguvu kubwa sana za...
Utangulizi
Serikali ya awamu ya Tano chini ya Rais J.P.Magufuli (CCM) imeanza kuwatumikia wananchi kwa kipindi cha (2015-2020) kwa mujibu wa katiba ya JMT(1977).
Vipaumbele vikuu vya serikali...
SAFARI YA DODOMA
Uamuzi wa kuhamia Dodoma ni tukio la 'kushtukiza' lililopokelewa kwa mshawasha na hisia
Ni tukio lilozua taharuki kwa taasisi, watendaji ,wafanyakazi na jamii kwa ujumla
Kadri...
MAHARAGWE UNILISHE, NKIJAMBA NI MKAIDI?
Chonde Baba sinitishe, Ukimya si yangu Jadi
Ili ujisahihishe, Kukosoa inabidi
Kiakili nijishushe, kisa yako itikadi?
MAHARAGWE UNILISHE, NKIJAMBA NI...
Wana wa jamii kuna taarifa ya kwamba jana Nape aliingia Bungeni kama hero, kwani alishangiliwa na wabunge wote hata kumlazimu mwenyekiti kuwataka hayo mahaba wayafanye bila kelele, mwenye video...
Hatuwezi kumaliza suala la madawa ya kulevya kwa nguvu peke yake. Matatizo ya kijamii ambayo tunayokabiliana nayo sasa ni lazima tuyaangalie katika mifumo yetu ya makuzi na malezi na mahusiano...
Wanajamvi, mara nyingi tumeongelea muungano na madhaifu yanayotishia hatma yake
Kwa hali na mwelekeo uliopo ipo haja ya kuzungumzia tena na tena ili wakati ukifika tusijejiuliza maswali yenye...
I just read this news and thought it's worth sharing.
In order to get developmental assistance, Tanzania amended its legislation, which should give commercial investors faster and better access...
Kama chama chochote cha siasa hakitakusaidia uboreke zaidi katika fikra zako na katika tabia yako, na maono yako kuhusu maisha yako, na utaifa wako, na badala yake kikakufundisha kuwa mbinafsi na...
Raia wanapaswa kuiogopa serikali au kuiheshimu?
Raia hapaswi kuiogopa serikali yake bali kuiheshimu atakapoiogopa serikali yake atakuwa anauza uhuru wake na kuwa mtumwa.
Hivyo raia wasiogope...
Papa na Nyangumi: Nani atawavua tuwale?
Katika bahari, kuna samaki wakubwa wawili, Papa na Nyangumi. Samaki hawa wanaogopewa kwa kuwa ni wakubwa na wana uwezo wa kudhuru kila kilicho karibu yao...
Kumekuwepo na vita inayoitwa ya madawa ya kulevya vyovyote tutakavyoita ikiwa kama wapiganaji wanapigana sababu ya kupata umaarufu wa kisiasa, au kwasababu ya nia yao ya dhati na dhamira ya dhati...
Moja ya skill ya uongozi ambayo kiuongozi mzuri anapaswa kuwa nayo ni kusimamia agenda mpaka anaona mwisho wake, lakini pili kuifanya hiyo agenda iwe ya wananchi wenyewe kwakuwa wao ndio wajenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.