Nadhani wengi wetu (wapenda hip-hop) tunamkumbuka hip-hop emcee wa miaka ile, Da Jo (dada Joah) from pande za Kigamboni. To be honest, this lady was my most favorite hip-hop artist among the...
Jamani nimesikia tangazo ila sikusikia wapi inafanyika Leo yamoto band na skylight band wanapiga show pamoja naomba aliyesikia Hilo tangazo inafanyika wapi please
Jamani nimezama kwa mapenzi sijui kama nitazuka naiona hali yangu taabani,wenzangu nawauliza nini dawa ya mepenzi waganga nimemaliza wa makombe na hirizi ,ilahi mola muweza ataniafu mwenyezi...
Habari gani wakuu?
Siku chache zilizopita Nilipost thread hapa Nikiomba kusaidiwa kujua jina la wimbo fulani niliousikia mara moja tu na nikashindwa kuujua jina wala aliuimba. Leo Nimeona...
Habari wadau,
Naomba kuleta hii hoja kwenu tuijadili/munifumbue macho kidogo. Hii inahusu moja ya project kubwa za kimuziki zilizowahi kufanyika inaitwa 'OKOA HIP HOP'
Hii ni project kubwa...
The best crime sagas are stories sparked by the thrill of shortsighted dreams that ultimately lead to a violent, messy end. Congolese writer-producer-director Djo Tunda Wa Munga's feature debut...
Wakuu kila nikiiangalia hii movie(animated),naiona mpya kila wakati.Hakika kazi ilifanyika katika movie hii. Ombi langu kwenu marafiki,naomba kama kuna animated movie yoyote iliyo katika level ya...
wakuu huwa napenda sana movie inazozungumzia true stories kwasababu huwa zinanifunza na kunihabarish amatukio mengi sana humu ulimwenguni baadhi ya movies ni:-
1.ZERO DARK30
2.HOTEL RWANDA...
Habari zenu wadau? Naomba mwenye Audio ya huu wimbo anisaidie,nina shida nao sana,najua hapa jamvini ndo mwisho wa kila kitu,shukrani.
Lyrics zake ni hizi:
Daz Nundaz - Nitafanya Nini...
Leo hii nguli huyu wa filamu za kuchekesha anatimizamiaka 59 ya kuzaliwa. Ingawa amecheza filamu nyingi lakini ukweli ni kwambawengi hapa nchini walimjua kupitia filamu Sarafina aliyoicheza mwaka...
Sugarhill Gang was one of the pioneer rapping act and their hit single, Rapper's Delight was the first commercial rap song in the world. That is right! I remember where I was back in 1979 when I...
Tukumbushane wasanii wakongwe wa muziki wa kizazi kipya (bongofleva) na nyimbo zilizowatoa, i mean nyimbo zilizofanya watanzania wengi kuwajua.
NB: Wasanii wakongwe namaanisha wa miaka ya 90...
Miezi ikapita, mawiki yakasonga hatimae siku, masaa na dakika zake zikapotea na sasa EFM inayopatikana katika masafa ya 93.7 imesikika hewani kwa majaribio kwa mara ya kwanza.
Redio hii...
Wadau naomba please mwenye wimbo wa MASELE chapombe wenye jina UZA NYUMBA WEKA HESHIMA BAA. Please mwenye nao naomba aniatach hapa either audio au video. Asante kwa msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.