Huwa sielewi kuna nini kwenye music industry ya Bongo as regards to Hip-Hop. Kwanini media inawabania sana promo maemcee wanaofanya hip hop ya ukweli???!! mfano.. jamii kubwa inafahamu zaidi uwepo...
Ni series zinazohusu uhusiano tata wa familia maarufu mji wa Florence ya Medici, Da Vinci na Pope wa Vatican.
Ina base kwenye true history ikiwa imejaa ihalisia na kusisimua.
Hii si ya kukosa !
Wadau wa music wote, mimi huwa napenda kufuatilia vitu kama hivi sana. Hapa nilipo sina TV kwa hiyo ninajaribu kuangalia online stream live. Lakini sijui link niliyoipata ntaenda nayo mpaka wapi...
nyimbo na mashairi yana nafasi kubwa sana katika kulikomboa taifa letu, cha kushagaza wasanii wetu wakisasa wamekuwa wakisifu na kuongelea ngono na pombe wamesahau taifa hili linahitaji...
Baada ya kipindi cha asubuhi cha power breakfast, jamaa akapiga wimbo wa ben pol jikubali. Ilpofikia anapoimba Lady Jay Dee iliminywa hata huwezi kuelewa kwa mgeni wa huu wimbo.
Nawauliza clouds...
Habari za jioni watanzania wenzangu, kutokana na kuwa nimekuwa nikisemwa sana, maneno mengi yasio na tija juu ya hili taji la umiss tanzania 2014,,,mpaka kupelekea nisiwe na amani na uhuru...
Soma zaidi hapa THE INNOVATION HOUSE Miss Tanzania Sitti Mtemvu amejivua taji la Miss Tanzania aliloshinda mwaka huu mjini Dar es Salaam baada ya kuzongwa na mashabiki kuhusu umri wake...
Only 10% of all the information we pick up when talking to someone is conveyed through words. 30% is conveyed through the emotional tone of the other persons voice, and 60% is conveyed through...
Isikie mwenyewe hapo chini. Ni bonge la ngoma, naipa 5 Mic. Big us sana Chid Benz. Ngoma imetulia kuanzia Bit hadi flow. Bongo kuna biti kali kama hizi?
Chid Benz Atoa Wimbo...
Nakapenda haka kawimbo, bt cjajua ni wasanii gani wameimba.Nimekasikia Mara mbili tatu clouds fm bt kila Mara nakuta ndo kanaisha isha au washataja details.
Wapo wawili mmoja anaimba ,sauti Nzuri...
Wadau nadhani hawa wadau wa sanaa wa Bongo Movie wana cha kujifunza angalau kidogo kutokana na baadhi ya hizi filamu ambazo kwa kiasi kikubwa zimerandana dhahiri na bayana na maisha halisi ya...
hizi ni baadhi tu ya comment toka kwa viewers.
halafu lawmaina78 yaonekana kijana wetu ana fun base kubwa sana kenya.ukitazama kwa umakini,comment nyingi ni za wakenya.
CC Geza...
Hellow wana jf alie na wimbo wa Ukivumilia mbele kweupe wa 20% naomba aniattachie hapa.Ntashukuru sana maana huo wimbo niusikiliza kwa mbali na nahitaji niusikilize kwa karibu sana.
Wakuu nitapata wapi link ya free download ya nyimbo za kwaya ya barabara ya 13 Bulyanhulu.Zipo baadhi zinapatikana tubidy.com lakini zina quality ndogo na nyingine ziko vipande,hazijakamilika...
Wengi wanahusisha Rap kwamba ni miziki ya Kihuni inayo-glorify violence na uhuni.., lakini ni ukweli usiopingika kwamba Raps ukisikiliza zina ujumbe pia na nyingine zinatoa nasaha safi kabisa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.