Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu, Heshima mbele. Nimemaliza kuiangalia filamu ya vichekesho ya wamarekani iliyotengenezwa na kampuni ya sony. Filamu hii inahusu kipindi cha tv ambacho kilijizolea umaarufu mkubwa Marekani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni majira ya saa kumi kasoro jioni nikitoka zangu Arusha narudi zangu Dar ninapoishi.. Kutokana na ugumu wa maisha, nimebakiwa na shilingi 3,200 tu mfukoni hapo nikiwaza chakula cha jioni pamoja...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
'Habarini wana wa jamvi hili. Nilifikiria nitupie jukwaa la lugha ila nikaona yafaa iwe hapa ila hata kama ni mtaalam wa lugha pia si mbaya kama utaweza kunifumbua macho nami nikafaham maana...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
jamani mwenye hii track naomba anisaidie,
0 Reactions
12 Replies
19K Views
KWA WAPENDA MUSIC WA KUJIRUSHA WA DISCO HII HAPA BEST COLLECTION disco janu 2015
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MASHAIRI YA YOUNG KILLER - DEAR GAMBE. VERS 1; Dear gambe umefanya maisha yangu ya yumbe, MI nimpambe wako leo nimekutumia ujumbe, MI ndugu yako nipe ukweli usini fumbe, Uwepo wako karibu vp...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
https://www.youtube.com/watch?v=Wa_hw-VcX08
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Naomba mwenye hii album anisaidie
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Yani msanii badala ya kuimba anapiga mayowe tuu huku akiwaelekezea mashabiki maiki. Kiufupi miziki ya kibongo bora kusikiliza redion lakin sio kwenda kutazama kwenye show!! Sasa ninyi...
6 Reactions
92 Replies
9K Views
Anaitwa sudyson...katoa ngoma inaitwa AMENISAMEHE..!!kuipata ngoma hii...ingia..VMG Africa.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wakuu,nahitaji link ya kupata movie hiyo hapo juu....
0 Reactions
0 Replies
750 Views
Jamani imefika wakati kuangalia vipaumbele vyetu japo msisitizo upo kwenye soka tusisahau vipaumbele vyetu na fani ipi angalau imeonyesha kutukubali! Pasi shaka burudani ama kwa kuigiza ama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
waione: Matola, Chachu Ombara, Dinazarde, farkhina
7 Reactions
122 Replies
34K Views
leo weusi wameachia remix ya gere ikiwa na wakali kibao wa Africa Mashariki. Link hii hapa download then tupia comment https://mkito.com/song/gere-remix-ft-collo-navio-nazizi-rabbit/9742
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Wale wapenzi wa Tv series karibuni kwenye hii thread tufanye kubadilishana mawazo, mimi ntaanza kwa kuzitaja series nilizoangalia na ninazoendelea kuangalia. 1: 24 2: Prison Break 3: Breaking Bad...
1 Reactions
165 Replies
17K Views
Clouds imeishiwa....Waliwatumia vijana wauza unga kwa posho ya kuwapigia nyimbo zao redioni na sasa hawana jipya.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna wimbo wa band fulan ckumbuk, unamaneno anaanza Muumin Mwinjuma, "Petro alimkana bwana Yesu mara tatu,kabla jogoo hajawika, lakin petrooo alisamehewa, Kosa langu lipi dada lisilosamehewa...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Kwa wale wapenzi wa movies tujuzane ni movie gani kali ya mwaka 2014 iliyokusisimua? Binafsi napenda action movies iwe military,spy na hata karate movies,
1 Reactions
56 Replies
9K Views
Mi binafsi nazipenda sana love story zao na hii ndo orodha ya movie ninazopenda mimi. 1.Ghajin (Amir Khan) 2.Vaada (Arjun Rampal) 3.Fanaa (Amir khan) 4.Akele Hum Akele Tum (Amir Khan) 5.kuch...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Za kwangu ni. 1.Blacklist..tarehe 1 feb. 2.Suits.......tarehe 29 feb 3.Viking.....tarehe 19 jan 4.Banshee. tarehe 09 jan 5.24............ tarehe 21 jan 6.Gotham....tarehe 05 jan...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom