Diamond & Yemi wametisha sana humu

Diamond & Yemi wametisha sana humu

Innocizy

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
1,736
Reaction score
1,056
Nimetazama hii video ya Diamond & Yemi Alade wakiwa na coke studio na binafsi nimeipenda sana..Imenifanya nifikirie mara mbili mbili kuhusu Naseed Abdul,ceteris peribus(all factors remain constant).

Huyu kijana anajitahidi sana katika kazi yake na nina uhakika hatoishia kufanya kollabo na Yemi ktk coke studio only,nna uhakika kuna kitu watakuwa wamezungumza kuhusu wimbo mmoja wa pamoja,coz ktk coke studio wamefanya poa sana,na hasa hii ngoma ya ukimwona.

Big up Diamond Platnumz kwa kazi nzuri,rekebisha tu katika yale ambayo unaelekezwa,ila you're really a star.



Ukimwona, Diamond Platnumz & Yemi Alade, Coke Studio Africa, Season 2, Episode 7 - YouTube

cc: Dinazarde
 
Unavyonishangaa mm kufungua Uzi kwa kupongeza kazi ya diamond unafanya na mm pia nikushangae kwa nn unishangae....
Tupunguze chuki watanzania.wivu mbaya sana.
Yaani mtu from no where unaumia kuona mwenzako kapost kuhusu diamond kweli inakuja hiyoo???
Mbaya zaidi nimetoa maoni yangu juu ya kazi yake na Yemi,na ww toa yako bhasiii.
 
Unavyonishangaa mm kufungua Uzi kwa kupongeza kazi ya diamond unafanya na mm pia nikushangae kwa nn unishangae....
Tupunguze chuki watanzania.wivu mbaya sana.
Yaani mtu from no where unaumia kuona mwenzako kapost kuhusu diamond kweli inakuja hiyoo???
Mbaya zaidi nimetoa maoni yangu juu ya kazi yake na Yemi,na ww toa yako bhasiii.

Labda wafungulie thread kuhusu wao,wanasahau kua dai ni maarufu lazima aongeleweeee
 
Labda wafungulie thread kuhusu wao,wanasahau kua dai ni maarufu lazima aongeleweeee

Sisi watanzania ni watu wa ajabu kweli dina..yaani mtu anakereka mm kumpongeza domo daah!!!mtu akifanya kazi nzuri asipongezwe....
Nilifatilia comments za watu ktk hio video wengi wamependezwa na dai kuliko yemi.
 
Sisi watanzania ni watu wa ajabu kweli dina..yaani mtu anakereka mm kumpongeza domo daah!!!mtu akifanya kazi nzuri asipongezwe....
Nilifatilia comments za watu ktk hio video wengi wamependezwa na dai kuliko yemi.

Na ukiandika habari ya daimond hata kama sio team dai unajulikana we ni team domo na ukiandika ya kiba we team kiba hhhhhhhaaaaaa
 
Na ukiandika habari ya daimond hata kama sio team dai unajulikana we ni team domo na ukiandika ya kiba we team kiba hhhhhhhaaaaaa

Hapo ndo pananchosha kabisa maana kama mm huwa navutiwa na kazi zao wote wawili....lakini kuna watu wanataka kulazimisha uhasama.
 
kwi kwi kwi kwiii kichwa cha habari huna unaanzaje anzaje kwa mfano, au utarudia vilivyopita shogaaa???

Wewe inakuhusu nini?hizi comments humu hua unanisaidia wewe kuandika?kwendraaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom