ESPIRIT JF-Expert Member Joined Jul 3, 2014 Posts 665 Reaction score 524 Dec 26, 2014 #1 Je,kufungiwa kufanyika kwa shindano la kumsaka mrembo wa tz, kutapunguza changamoto kama kudanganya umri n.k?
Je,kufungiwa kufanyika kwa shindano la kumsaka mrembo wa tz, kutapunguza changamoto kama kudanganya umri n.k?
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,190 Reaction score 128,264 Dec 26, 2014 #2 ESPIRIT said: Je,kufungiwa kufanyika kwa shindano la kumsaka mrembo wa tz, kutapunguza changamoto kama kudanganya umri n.k? Click to expand... kutawafanya waandaji wa shindano kuwa makini kusimamia changamoto za kudanganya umri n.k
ESPIRIT said: Je,kufungiwa kufanyika kwa shindano la kumsaka mrembo wa tz, kutapunguza changamoto kama kudanganya umri n.k? Click to expand... kutawafanya waandaji wa shindano kuwa makini kusimamia changamoto za kudanganya umri n.k
S Sangomwile JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 3,227 Reaction score 1,104 Dec 26, 2014 #3 Pia kutapunguza idadi ya wavaa vichupi.
KikulachoChako JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 19,886 Reaction score 40,068 Dec 26, 2014 #4 Pia itapunguza kasi ya maambukizi mapya ya vvu...