matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,960
Nyota ya Diamond inazidi kuwaka nchini Nigeria. Wimbo wa coco baby wa Waje aliomshirikisha msanii bilionea Diamond platnumz ndio the most requested song nchini Nigeria kwa sasa.
Hii ni kitu cha kupongezwa na kujivunia kwani tangu bongo fleva ianze imekuwa ndio ndoto tuliyoota itimie. kwa sasa tunawataka kina diamond wengi waongezeke.
source: Vanessa mdee kwenye choice fm
Hii ni kitu cha kupongezwa na kujivunia kwani tangu bongo fleva ianze imekuwa ndio ndoto tuliyoota itimie. kwa sasa tunawataka kina diamond wengi waongezeke.
source: Vanessa mdee kwenye choice fm